Vijasumu - Wikipedia, kamusi elezo huru
Nenda kwa yaliyomo
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Vijasumu
(kutoka
Kiyunani
βακτήριον, baktērion, yaani "kifimbo", kutokana na
umbo
la vijasumu vya kwanza kugundulika; pia:
bakteria
) ni
viumbehai
wadogo sana aina ya
vidubini
Mwili
wa vijasumu huwa na
seli
moja tu. Huonekana kwa
hadubini
tu na kwa sababu hiyo hawakujulikana katika
karne
za kale.
Bakteria
Bakteria aina ya
Clostridium botulinum
katika
hadubini
Uainishaji wa kisayansi
Domeni:
Bakteria
Ngazi za chini
Faili
Gram positive
/ haina utando wa nje
Actinobacteria
(ina guanini na sitosini nyingi)
Firmicutes
(ina guanini na sitosini chache)
Tenericutes
(haina ganda la nje)
Gram negative
/ ina utando wa nje
Aquificae
Deinococcus-Thermus
Fibrobacteres
Chlorobi
Bacteroidetes
kundi la FCB
Fusobacteria
Gemmatimonadetes
Nitrospirae
Planctomycetes
Verrucomicrobia
Chlamydiae
kundi la PVC
Proteobacteria
Spirochaetes
Synergistetes
Isiyoainishwa
Acidobacteria
Chloroflexi
Chrysiogenetes
Cyanobacteria
Deferribacteres
Dictyoglomi
Thermodesulfobacteria
Thermotogae
Bakteria ya
Escherichia coli
ziliongezwa ukubwa mara 25,000.
Kuna aina nyingi sana za vijasumu na
idadi
yao ni kubwa kushinda viumbe vingine vyote
duniani
Huishi kwenye
ardhi
na kwenye
maji
, ziko pia
hewani
zinaposukumwa na
upepo
Aina nyingi huishi ndani ya viumbe vikubwa zaidi.
Mwanadamu
huwa na bakteria nyingi ndani ya
utumbo
wake ambazo ni za lazima kwa
mmeng'enyo
wa
chakula
. Hata katika
ngozi
kuna bakteria nyingi ambazo zinakinga mwili dhidi ya vidubini vilivyo tishio. Lakini bakteria nyingine katika
mazingira
huweza kusababisha
magonjwa
na sehemu kubwa ya
magonjwa ya kuambukiza
yametokana na bakteria.
Bakteria huzaa kwa njia ya kujigawa na kuwa bakteria mbili ambazo ni sawa na seli asilia.
Bakteria ya kawaida huwa na
kipenyo
cha
µm
1.
Historia ya elimu vijasumu
hariri
hariri chanzo
Makala kuu:
Mikrobiolojia
Antonie van Leeuwenhoek, mwanamikrobiolojia wa kwanza na mtu wa kwanza aliyeona bakteria kwa darubini.
Bakteria waligunduliwa mara ya kwanza na
Antonie van Leeuwenhoek
mwaka
wa
1676
, kwa kutumia
hadubini ya lensi moja
ya muundo wake mwenyewe.
Aliwaita "animalcules" na alichapisha habari za
utafiti
wake kwenye msururu wa
barua
kwa Shirika la Muungano wa Mfalme. Jina
bacteriam
lililetwa miaka mingi baadaye, na Christian Gottfried Ehrenberg katika mwaka wa 1838.
Mwaka
1859
Louis Pasteur
alionyesha kuwa mchakato wa kuchachusha unasababishwa na ukuaji wa vijiumbe, na kwamba ukuaji huu si wa kizazi cha kujianzia. (
Hamira
na
kuvu
, ambazo kwa kawaida zinahusishwa na uchachushaji, si bakteria, ila ukungu.) Pamoja na mwenzake,
Robert Koch
, Pasteur alikuwa wa kwanza kuitetea nadharia ya kijidudu ya ugonjwa.
Robert Koch alikuwa
mwanzilishi
wa
taaluma
ya
uuguzi
wa
mikrobiolojia
na alishughulikia
kipindupindu
kimeta
na
kifua kikuu
. Katika utafiti wake wa kifua kikuu, Koch hatimaye alithibitisha nadharia ya kijidudu, ambayo ilimfanya atunukiwe
Tuzo
la
Nobel
mwaka wa
1905
Katika madai yake, Koch aliweka vigezo vya kutathmini kama kiumbe ndicho husababisha ugonjwa, na madai haya yanatumika mpaka leo hii.
Ingawa katika
karne ya 19
ilijulikana kwamba bakteria ndio chanzo cha magonjwa mengi, hakuna
matibabu
yoyote ya viuabakteria yaliyopatikana.
Katika mwaka wa
1910
Paul Ehrlich
alitengeneza
kiuavijasumu
cha kwanza, kwa kubadilisha
rangi
ambazo kwa kuchagua zilitia mawaa
Treponema pallidum
, spirokaeti ambayo husababisha
kaswende
katika mchanganyiko wa ambao uliua kisababishi magonjwa.
Ehrlich alikuwa ametuzwa
Tuzo la Nobel
mwaka
1908
kwa kazi yake kuhusu
elimu ya kingamaradhi
, na alianzisha matumizi ya madoa ili kuchunguza na kubaini bakteria, na kazi yake ilijikita kwenye misingi ya
doa la Gram
na
doa la Ziehl-Neelsen
Mafanikio makubwa katika utafiti wa bakteria yalikuwa kutambuliwa kwa
Carl Woese
mwaka
1977
kwamba
akea
walitokana na mabadiliko tofauti na yale ya bakteria.
Uanishaji
huu mpya wa jamii ya filojenetiki ulikitwa kwenye misingi ya kufululizwa kwa
ribosomu
RNA
16S, ukagawa
prokaryota
katika makundi mawili yenye mageuko tofauti, kama mojawapo ya sehemu ya mifumo ya vikoa vitatu.
10
Asili na mabadiliko ya awali
hariri
hariri chanzo
Makala kuu:
Mageuko ya spishi
Asili ya bakteria wa sasa ilikuwa vijiumbe vya seli moja ambavyo ndivyo
viumbehai
wa kwanza duniani, takriban miaka
bilioni
4 iliyopita.
Karibu miaka bilioni 3 iliyopita, viumbe wote walikuwa hawawezi kuonekana kwa
macho
, na bakteria na akea walikuwa ndio aina kubwa za viumbehai duniani.
11
12
Ingawa
visukuku
vya bakteria vipo, kama vile
stromatoliti
, ukosefu wao wa
umbo
maalumu unazuia kutumiwa katika uchunguzi wa
historia
ya mabadiliko ya bakteria, au kueleza lini
spishi
ya bakteria maalumu ilianza. Hata hivyo, mpangilio wa
jeni
unaweza kutumiwa kuelezea upya
filojeni
ya bakteria, na utafiti huo unaonyesha kuwa bakteria wa kwanza walitokana na
nasaba
ya akea / eukaryota.
13
Huenda asili ya bakteria wa hivi karibuni na ya akea ilikuwa
haipathamofili
iliyoishi miaka bilioni 2.5 hadi 3.2 iliyopita.
14
15
Aidha bakteria walishiriki katika geuko la pili kubwa, la akea na
eukaryota
. Hapo, eukaryota walitokana na bakteria wa kale na kuwa na uhusiano uliowafaidi wote huku seli za kwanza za eukaryota, ambazo huenda zilihusiana na akea.
16
17
Hii ilihusu kumezwa kwa seli za proto-eukaryota na alfa-protobakteria kwa manufaa ya wote na kuunda ama
mitokondria
au haidrojenisomi, ambazo bado zinapatikana kwenye eukaryota zote (wakati mwingine katika hali iliyo dhaifu sana, kwa mfano katika
protozoa
ya "amitokondrial" ya kale). Baadaye, baadhi ya eukaryota ambazo tayari zilikuwa na mitokondria pia zilimeza viumbe ambavyo vilikuwa kama cyanobakteri. Hii ilisababisha kuundwa kwa
kloroplasti
katika
mwani
na
mimea
. Aidha, kuna baadhi ya mwani ambayo ilichimbuka baadaye kutoka kwa matukio ya hali ya kutegemeana. Hapa, eukaryota zilimeza eukaryota ya mwani ambayo baadaye ilinawiri na hata kuwa plastidi ya "kizazi cha pili".
18
19
Hii inajulikana kama hali ya kutegemeana ya daraja la pili.
Mofolojia
hariri
hariri chanzo
Aina ya maumbo ya seli za bakteria na mpangilio wake.
Bakteria huwa na maumbo na ukubwa tofautitofauti, unaoitwa
mofolojia
. Seli za bakteria ni karibu sudusi moja 1 / 10 ya seli za eukaryota na kwa kawaida huwa na
urefu
wa
mikromita
0.5-5.0. Hata hivyo, spishi chache, kama vile
Thiomargarita namibiensis
na
Epulopiscium fishelsoni
, huwa na urefu wa milimita nusu ya muda mrefu na zinaweza kuonekana kwa macho bila darubini.
20
Kati ya bakteria ambao ni wadogo ni wale wa jenasi ya
Mykoplasma,
ambao wana kipimo cha mikromita 0.3 tu, udogo wao unalingana na virusi vilivyo vikubwa zaidi.
21
Baadhi ya bakteria wanaweza kuwa hata wadogo zaidi, lakini bakteria hao wadogo zaidi hawajatafitiwa vizuri.
22
Spishi za bakteria nyingi huwa ama duara-dufu, waitwao koksi (umoja: kokusi, kutoka neno la Kigiriki
κόκκος
kókkos,
nafaka
mbegu
) au umbo la fimbo, waitwao bacilli (umoja: Bacillus, kutoka neno la
Kilatini
baculus
Kilatini
, fimbo). Kurefuka huhusishwa na kuogelea.
23
Baadhi ya bakteria wenye umbo la fimbo, waitwao vibrio, huwa na mviringo kidogo au umbo la koma; na wengine, wanaweza kuwa na umbo la pia, waitwao spirilla, au kuzungushwa kwa pamoja, waitwao spirokiti. Idadi ndogo ya spishi wana umbo la
pembenne
au hata umbo la
sanduku
24
Hivi majuzi, bakteria waligunduliwa ndani ya
sahani ya dunia
ambao na kuwa na urefu kama wa fimbo na sehemu ya pembeni yenye umbo la
nyota
Eneo lao kubwa ukilinganishwa na uwiano wa kiasi cha mofolojia hii linaweza kufaidi hawa bakteria katika mazingira yaliyo na
madini
machache.
25
Maumbo haya tofauti ni kutokana na ukingo wa ukuta wa seli za bakteria na kuamua na bakteria na mfupa wa saitoplazimu, na ni muhimu kwa sababu unaweza kuathiri uwezo wa bakteria wa kupata virutubisho au madini, kujigandisha kwenye kingo, kuogelea kwa vitu viwevu na kujiepusha na
kuwindwa.
26
27
Spishi nyingi za bakteria zinaishi kama seli moja tu, wengine huwa na ruwaza fulani ya muungano:
Neisseria
huunda diploidi (
jozi
),
Streptococcus
huunda minyororo, na
Staphylococcus
hujiunga kwenye kikundi cha "rundo la zabibu". Aidha bakteria zinaweza kurufushwa kuunda filamenti, kwa mfano Aktinobakteria. Mara nyingi bakteria za nyuzi huzungukwa na uo ambao una chembechembe nyingi za kibinafsi. Aina fulani, kama vile spishi za jenasi ya
Nocardia,
huweza hata kuunda filamenti za kushangaza zenye matagaa, zinazofanana na vimelea vya mycelia.
28
Aina ya maumbo ya prokaryoti ikilinganishwa na viumbe wengine.
Mara nyingi bakteria hujiunganisha kwenye sehemu zingine ili kuunda mikusanyiko mikubwa iitwayo biofilamu au mikeka ya bakteria. Filamu hizi zinaweza kuwa kati ya mikromita chache kwa unene hadi
nusu
mita
kwa
kina
, na zinaweza kuwa na spishi nyingi za bakteria,
protista
na
akea.
Bakteria wanaoishi katika biofilamu huwa na mpangilio mgumu wa seli na vipengele vya nje ya seli, na kuunda maumbo ya daraja la pili kama vile mikrokoloni, umbo ambalo huwa na njia nyingi kuwezesha upitishaji wa virutubisho.
29
30
Katika mazingira ya kawaida, kama vile udongo au mimea, bakteria wengi huunganishwa kwenye kingo katika bio-filamu.
31
Bio-filamu ni muhimu pia katika
uuguzi
, kwa sababu mara nyingi maumbo haya yanapatikana kwenye magonjwa mabaya ya kuambukizwa au katika maambukizi ya vifaa vya matibabu ambavyo vimewekwa mwilini, na bakteria wanaolindwa ndani ya bio-filamu ni vigumu sana kuwaua kuliko bakteria walio pweke.
32
Wakati mwingine mabadiliko mengine makubwa ya kimofolojia yanaweza kutokea. Kwa mfano, wakinyimwa
amino asidi
, miksoobakteria wanaweza kugundua seli ambazo zimewazingira, hali iitwayo hisi ya kikundi, hujumuika pamoja, na hukusanyika kuunda maumbo marefu ambayo yanaweza kufika mikromita 500 na yenye takriban seli za bakteria 100,000.
33
Katika maumbo haya, bakteria hutekeleza majukumu tofauti: aina hii ya ushirikiano ni mfano rahisi wa ushirika wa seli nyingi. Kwa mfano, karibu seli moja kwa kila seli 10 huhamia sehemu ya juu ya maumbo haya na huwa katika hali ya utulivu iitwayo "myxospores", ambayo ina uwezo wa kustahimili
ukavu
na hali nyingine mbaya zaidi za mazingira, kinyume na ilivyo seli zingine.
34
Muundo wa seli
hariri
hariri chanzo
Muundo na sehemu ya kiini cha bakteria wa Gram chanya
Miundo ya ndani ya seli
hariri
hariri chanzo
Seli ya bakteria imezungukwa na utando wa
lipidi
, au utando wa seli, ambao huifunika na pia kuikinga dhidi ya kushikilia virutubisho,
protini
na sehemu nyingine muhimu za
saitoplazimu
ndani ya seli. Kwa kuwa hizi seli ni prokaryota, bakteria mara nyingi huwa hazina
oganeli
kwenye utando katika saitoplazimu yao, kwa hivyo, huwa na sehemu chache zilizo kubwa ndani ya seli. Kwa sababu hiyo hawana
kiini
mitokondria
kloroplast
na oganeli nyingine ambazo zinapatikana katika seli za eukaryota, kama vile
sehemu za Golgi
na
retikilamu
ya endoplazimu.
35
Wakati fulani bakteria walionekana kama mifuko tu ya saitoplazimu, lakini vitu kama vile mfupa-seli wa prokariyoti,
36
37
na ujanibishaji wa protini katika maeneo maalum ndani ya saitoplazimu
38
umedhihirisha viwango vya kuendelea. Vijisehemu hivi vya seli vimekuja kujulikana kama "maumbo ya hali ya juu ya bakteria".
39
Vijisehemu vidogo kama vile
kaboksisomu
40
vinadhihisha kiwango kingine cha mpangilio, ambavyo ni sehemu zilizo ndani ya bakteria ambazo zimezungukwa na
shanga
za
polihedra
ya protini, badala ya utando wa lipidi.
41
"Oganeli hizi za polihedra" hujikusanya na kugawa
umetaboli
wa bakteria katika vyumba, kazi ambayo hutekelezwa na oganeli zinazopatikana kwenye utando kwenye eukaryota.
42
Mifanyiko mingi ya
kibiokemia
, kama vile kualisha nguvu, hutokana na tofauti za viwango vya chumvi kupitia kwa utando, sifa ambayo pia hupatikana katika
betri
ya. Kukosekana kwa jumla kwa utando wa ndani kwenye bakteria kunamaanisha kwamba mifanyiko kama vile
usafiri
wa
elektroni
hutokea kwenye utando baina ya saitoplazimu na nafasi kati ya periplazimu.
43
Hata hivyo, katika bakteria wengi wanaotengeneza
chakula
kutoka kwa
mwanga
utando wa plazimu huwa umekunjwa sana na hujaza seli na safu ya utando wa kukusanya mwanga.
44
Utando huo wa kukusanya mwanga unaweza hata kuunda maumbo yaliyofunikwa na lipidi yaitwayo
klorosomu
katika bakteria za kijani za
salfa
45
Protini zingine huleta virutubisho kupitia kwa utando wa seli, au kutoa molekiuli ambazo hazihitajiki kutoka kwa saitoplazimu.
Karboksisomu ni protini-iliyoambatanishwa viungovya bakteria. Upande wa kushoto juu ni picha ya darubini ya elektroni ya karboksisomu katika Halothiobacillus neapolitanus , chini ni picha safi ya karboksisomu. Katika upande wa kulia ni mfano wa muundo wao. Viwango vya kupima ni 100 nm.
Bakteria hawana kiini chenye utando, na wameundwa kutoka kwa jeni ya kromosomu moja ya mviringo iliyo katika saitoplazimu katika umbo lisilo na muundo maalum liitwalo nukleoidi.
46
Kiini cha bakteria kina kromosomu yenye protini na RNA. Planktomaisiti zina upekee katika kukosekana kwa jumla kwa utando wa ndani katika bakteria, kwa sababu zina utando unaozunguka kiini chao na huwa na maumbo mengine ya seli yenye utando.
47
Kama ilivyo kwa
viumbe wote wenye
uhai, bakteria huwa na ribosome kwa ajili ya kutengeneza protini, lakini maumbo ya ribosome wa bakteria ni tofauti ikilinganishwa na wa
yukariyoti
na
Akea.
48
Baadhi ya bakteria hutengeneza chembechembe ndani ya seli za kuhifadhi virutubisho, kama vile glikojeni,
49
polifosfeti,
50
salfa
51
au polihaidroksyalkanoeti.
52
Chembechembe hizi huwezesha bakteria kuhifadhi misombo kwa ajili ya matumizi ya baadaye. Baadhi ya spishi za bakteria, kama vile zile za Sayanobacteria wa kifotosinthetiki, hutengeneza vilengelenge vya gesi vya ndani, ambavyo huvitumia kuwawezesha kuelea - na kuwaruhusu kuogolea juu na chini katika rusu za maji zenye mwanga na virutubisho tofauti.
53
Miundo ya nje ya seli
hariri
hariri chanzo
Karibu na nje ya utando wa seli kuna ukuta wa seli wa bakteria. kuta za seli za bakteria zimetengenezwa na peptidoglaikani (ambayo awali iliitwa murein), ambayo hutokana na mfululizo wa polisakaraidi zilizounganishwa na peptide isiyo ya kawaida yenye amino asidi ya D.
54
Kuta za seli za bakteria hutofautiana na kuta za
mmea
na
kuvu
, ambao hutengenezwa kutokana na selulosi na chitini, mtawalia.
55
Ukuta wa seli ya bakteria pia ni tofauti na ule wa Akea, ambao hauna peptidoglaikani. Ukuta wa seli ni muhimu katika maisha ya bakteria wengi, na antibiotiki ya penicillin anaweza kuua bakteria kwa kuzuia hatua moja katika matumizi ya peptidoglaikani.
55
Kuna aina mbili kuu za kuta za seli katika bakteria, ziitwazo Gramu-chanya na Gramu-hasi. Majina haya yanatokana na athari ya seli kwa waa la Gram,utafiti ambao ulitumiwa kwa muda mrefu katika kuainisha spishi za bakteria.
56
Bakteria za Gram-chanya zina ukuta wa seli mnene ambao una rusu nyingi za peptidoglaikani na asidi ya teikoiki. Kinyume na matarajio, bakteria wa Gramu-hasi wana ukuta mwembamba uliyo na rusu chache za peptidoglaikani iliyozungukwa na utando wa pili wa lipidi wenyelipopolisakaride na lipoprotini. Bakteria wengi wana ukuta wa seli wa Gramu-hasi, na Fimikuti tu na Aktinobakteria ambao(asilia walijulikana kama bakteria wa G + C ya chini na G + C ya juu Gramu-chanya, mtawalia) huwa na mpangilio wa Gramu-chanya mbadala.
57
Utofauti huu katika miundo unaweza kuleta tofauti katika kuathirika kwa antibiotiki, kwa mfano, vankomisin inaweza tu kuua bakteria wa Gram-chanya na hushindwa kuua pathojeni za Gram-hasi, kama vile
Haemophilus influenzae
au
Pseudomonas aeruginosa.
58
Katika bakteria wengi rusu ya S ya molekiuli za protini zilizounganishwa pamoja hufunika nje ya ukuta wa seli.
59
Rusu hii hukinga seli dhidi ya athari za kikemikali na zingine na inaweza kuzuia kuenea kwamakromolekiula. Rusu za S- zina kazi mbalimbali lakini ambazo hazieleweki vizuri, lakini inajulikana kwamba hufanya kazi kama sumu kali katika
Campylobacter
na zina
vimeng'enya
katika
stearothermophilus Bacillus.
60
Mchoro wa elektroni za helikobakta pailori elektroni, unaoonyesha flajela nyingi kwenye seli
Flajela ni maumbo magumu yenye protini, yana kipenyo cha takriban nanomita 20
Mita
huwa na urefu wa hadi mikromita 20, ambazo hutumika kuwezesha usafiri wa ufanisi. Flajela huendeshwa kutokana na nguvu zinazozalishwa kupitia kwa ubadilishanaji wa Ionchini ya mwinamo wa elektrokemikali kupitia kwa utando wa seli.
61
Fimbriae ni nyuzi nyororo za protini, zenye kipenyo cha nonimita 20-10 tu na urefu wa mikromita kadhaa. Huwa wamesambaa kwenye sehemu za sseli, na hufanana na nywele laini zinapoonwa kupitia kwa hadubini ya elektroni. Inaaminika kuwa Fimbriae huhusika katika kuunganisha vitu yabisi kwenye sehemu zingine au katika seli zingine na ni muhimu katika kutengeneza sumu kali ya pathojeni fulani za bakteria.
62
Pili
(kwa umoja
pilus) ni viambatisho vya seli, kubwa kidogo kuliko fimbriae, ambavyo vinaweza kuhamisha vitu vya jenetiki baina ya seli za bakteria katika mchakato uitwao muungano (tazama jenetiki ya bakteria, hapa chini).
63
Kapsuli au rusu za slimi zinazotengenezwa na bakteria wengi kuzingira seli zao, na hutofautiana kwa maumbo na miundo: kuanzia rusu ya slimu isiyo na mpangilio ya ya nje ya polima ya seli, na yenye muundo bainishi wa kapsuli au glaikokaliksi. Maumbo haya yanaweza kulinda seli dhidi ya kumezwa na seli za yukariyoti, kama vile makrofeji.
64
Pia wanaweza kufanya kazi kama Antijeni na kushirikishwa katika utambuzi wa seli, kadhalika kuwezesha katika kuunganisha na na kutengenza bio-filamu.
65
Kuleta pamoja hii miundo au maumbo ya seli kunategemea mifumo ya utoaji wa ugiligili wa bakteria. Uhamisho wa protini kutoka kwa saitoplazimu hadi kwa periplazimu au katika mazingira yaliyo karibu na seli. Mifumo ya aina nyingi ya utoaji ugiligili inajulikana na mara nyingi miundo hii ni muhimu kwa ajili ya pathojeni za sumu kali, kwa hiyo hutafitiwa kwa kina.
66
Endospora
hariri
hariri chanzo
Makala kuu:
Endospora
Bacillus anthracis (yenye doa la zambarau) inyokua kwenye ugiligili wa uti wa mgongo
Baadhi ya
nasaba
ya bakteria wa Gram-chanaya, kama vile Bacillus, Clostridium, Sporohalobacter, Anaerobacter na
Heliobacterium,
zinaweza kutengeneza maumbo yaliyotulia yenye uwezo kustahimili yaitwayo endospora.
67
Karibu katika visa vyote, endospora moja hutengenezwa na huu siyo mchakato wa uzazi, ingawa
Anaerobacter
wanaweza kutengeneza endospora kwenye seli moja.
68
Endospora huwa na kitovu muhimu cha satoplazimu chenye
ADN
na ribosomu iliyozungukwa na rusu ya gamba na kulindwa na ngozi ngumu isiyopenyeka.
Endospora haina umetaboli usiyoweza kuonekana nainaweza kustahimmili hali mbaya ya kimwili na kikemikali, kama vile viwango vya juu vya mwanga wa miale ya jua, mionzi ya gamma, sabuni za maji, vipukusi, joto, kuzizima, shinikizo na ukavu.
69
Katika hali hii iliyotulia, viumbe hawa wanaweza kusalia na uwezo wa kujitegemea kwa mamilioni ya miaka,
70
71
na endospora huwezesha bakteria hata kushi kwenye ombwe tupu na mionzi ya anga.
72
Aidha, bakteria ambao hutengeneza endospora wanaweza kusababisha ugonjwa kwa mfano, unaweza kupata kimeta kwa kuvuta hewa yenye endospora za
Bacillus
anthracis,
na uchafuzi wa vindnda vya ndani na endospora za
Clostridium tetani
husababisha pepopunda.
73
Umetaboli
hariri
hariri chanzo
Bakteria huonyesha aina mbalimbali za umetaboli.
74
Sifa za kundi la bakteria kijadi zimetumika katika kuainisha jamii zao, lakini aghalabu sifa hizi hazioani na uainishaji wa kisasa wa jeni.
75
Umetaboli wa bakteria huainishwa katika makundi ya lishe kwa misingi ya vigezo vitatu vikuu: aina ya nishati inayotumika katika kukua, chanzo cha
kaboni
, na nyenzo za elektroni zinazotumika kwa ajili ya ukuaji. Kigezo kingine cha ziada cha vidubini vinavyopumua ni vinasa elektronivinavyotumika katika uzalishaji wa nguvu kwa kutumia oksijeni au bila oksijeni.
76
Aina za lishe katika umetaboli wa bakteria
Aina ya lishe
Chanzo cha nguvu
Chanzo cha kaboni
Mifano
Fototrofu
Mwanga wa jua
Misombo ya kaboni (fotoheterotrofu) au uongezaji wa kaboni (fotoautotrofu)
Cyanobakteria, Bakteria wa kijani wa salfa, Klorofleksi, au bakteria wa zambarau
Lithotrofu
Iso-Misombo
Misombo ya kikaboni (lithoheterotrofu) au uongezaji wa kaboni (lithoautotrofu)
Thamodesalfobakteria,
Hydrogenophilaceae,
au Nitrospirae
Oganotrofi
Misombo ya kaboni
Misombo kaboni (kemoheterotrofi) au uongezaji wa kaboni (kemoautotrofi)
Bacillus, Clostridium
au
Enterobacteriaceae
Umetaboli wa kaboni katika bakteria huwa aidha pale ambapo misombo ya kaboni kiheterotrofiki, ambapo misombo kikaboni hutumiwa kama vyanzo vya kaboni, au kiototrofiki, kumaanisha kamba sseli ya kaboni hutokana na uongezaji wa
gesi ya kaboni yenye oksijeni
. Bakteria za heterotrofiki ni pamoja na aina ya vimelea. Mfano mzuri wa bakteria za ototrofiki fototrofiki siyano-bakteria, bakteria za salfa ya kijani na baadhi wa bakteria za zambarau, lakini pia spishi nyingi za aina ya kemolithotrofiki, kama vile bakteria za kuongeza naitrojeni ama za kuongeza oksijeni katika salfa.
77
Umetaboli wa nishati ya bakteria ama huwa umejikita katika ototrofi, utumiaji wa mwanga kupitia kwa
usanisinuru
, au kupitia kwa kemotrofi, utumiaji wa dutu za kemikali kuzalisha vyakula, ambayo mara nyingi hutengenzwa kwa gharama ya oksijeni au vipokea elektroni mbadala (mpumuo wa erobiki / anerobiki).
Filamenti sinobakteria ya kuzalisha chakula kutoka kwa mwanga
Hatimaye, bakteria zimegawanyika kama lithotrof ambazo hutumia vitoa elektroni vya isokaboni na oganotrofu ambazo hutumia misombo ya kikaboni kama vitoa elektroni. Vijiumbe vya kemotropiki hutumia vitoa elektroni husika katika kuhifadhi nguvu (kwa mpumuo wa aerobiki/uchachushaji wa anerobiki) na mifanyiko mingine ya biosinthetiki (kwa mfano, kuongezea gesi ya kaboni dioksidi), navyo viumbe vya fototropiki huzitumia tu kwa madhumuni ya biosinthetiki. Viumbe vipumuzi hutumia misombo ya kemikali kama kiini cha nishati kwa kuchukua elektroni kutoka kwa substreti ilopunguzwa na kuzihamisha hadi kwenye taminali ya kukubali elektroni katika mmenyuko wa aina ya redoksi. Mmenyuko huu husababisha nishati kutolewa inayoweza kutumika kwa kumeng'enya ATP na kuendesha umetaboli. Katika viumbe vya erobiki,
oksijeni
hutumiwa kama kikubalio cha elektroni. Katika viumbe vya anaerobic misombo ya isokaboni nyingine kama vile, naitratisalfeti au kaboni dioksaidi hutumika kama vikubalio vya elektroni. Hii hupelekea michakato muhimu ya kiikoloji ya di-naitrifikashon kupunguza kwa salfeti na asetojenesis kwa mtiririko huo.
Hali nyingine ya kimaisha ya kemotrofs katika hali ya kukosekana kwa vikubalio vya elektroni inayowezekana ni kuchachua (famenteshon), ambapo elektroni zilizochukuliwa kutoka sabstreti iliyo punguzwa huhamishiwa hadi kwenye substreti za kati zilizo oksidaiziwa kuzalisha bidhaa zilizo chachuka (mfano laktate, ethanol,
hidrojeni
na asidi ya butiriki). Kuchachuka kwa wezekana, kwa sababu kiwango cha nishati kilichomo kwenye sabstreti ni kikubwa kuliko kile cha mazao, na hii hufanya viumbe kusinthesise ATP na kufanyika kwa metaboli zao.
78
79
Michakato hii ni muhimu pia katika baiolojia kwa mujibu wa uchafuzi wa mazingira, kwa mfano, bakteria za kupunguza salfeti huwajibika kwa kiasi kikubwa katika uzalishaji wa aina mbali mbali za sumu aina ya
zebaki
methil-
na
daimethilzebaki
) katika mazingira. Anaerobu zisizopumua hutumia uchachuaji kuzalisha nishati na nguvu wa kupunguza, kutengeneza bidhaa za metaboli (kama vile ethanol katika utengezaji wa pombe) kama bidhaa taka. Anaerobu aina ya Fakaltative zinanaweza kubadili kati ya kuchachua na ukomo kubalifu wa elektronitofauti kutegemeana na hali ya mazingira ambayo wao hupatikana.
Bakteria aina ya lithotrofiki hutumia misombo isokaboni kama chanzo cha nishati. Isokaboni fadhili za elektroni za kawaida ni hidrojeni,kaboni monoksidi,
amonia
(inayopelekea naitrifikashion), chuma na ayoni zingine za metali zilopungukiwa, na misombo kadhaa zilizopunguzwa za
sulfuri
. Mara nyingi gesi ya methane inaweza kutumika na bakteria aina ya methanotrof kama kiini cha
elektroni
na chakula katika kunaboli kwa kaboni.
80
Katika aerobik fototrofi na kemolithotrofi, oksijeni hutumiwa kama kikomo kubalifu cha elektroni, na huku katika hali ya anaerobik, misombo isokaboni hutumika badala yake. Viumbe vingi aina ya Lithotrofiki ni ototrofiki, navyo viumbe aina ya oganatrofiki ni heterotrofiki.
Mbali na kupachika kaboni dioksidi katika usanisinuru, baadhi ya bakteria pia hupachika gesi ya
naitrojeni
(upachikaji wa naitrojeni) kutumia enzaimu naitrojeni. Tabia hii muhimu inayoambatana na mazingira inaweza kupatikana katika bakteria wa metaboli karibu wa aina yote waliotajwa hapo mbeleni, lakini si kwa ujumlla.
81
Ukuaji na Uzazi
hariri
hariri chanzo
Bakteria huongeza idadi kwa kujigawanya mara mbili
Kinyume na viumbe vyenye seli mingi, kuongezeka kwa ukubwa wa bakteria (ukuaji wa seli) na uzalishi kwa ugawi wa seli zinahusishwa haswa na viumbe vyenye seli moja. Bakteria hukua hadi kiasi fulani na kisha kuzaa kupitia kwa urudufuwa fishoni ambayo ni aina ya uzazi usio wa kingono.
82
Katika hali ya timilifu, bakteria zinaweza kukua na kugawanya sana kwa haraka, na idadi yao kufikia mara mbili kila baada ya dakika 9.8.
83
Katika mgawanyiko wa seli, seli mbili zenye kufanana clone ni zinazozalishwa. Baadhi ya bakteria, wakati bado zinazalisha bila kutumia ngono, hutengeza miundo ya uzazi ili kusaidia kugawa seli mpya zilizoundwa. Mifano ni pamoja na kutengezwa kwa mwili wa malezi wa matunda na
Myxobakteria
na utengezaji wa hypha angani na
Streptomyces
au kuunganika. Budding huhusisha seli inayojumuisha kivimbe kinachojitenga na kisha kuutoa seli mpya.
Koloni ya Escherichia coli jinsi wanavyojigawanya na kuongezeka
84
Katika maabara, bakteria hukuzwa kwa kutumia vyombo vya mango au viowevu. Vyombo vya ukuaji kama vile sahani ya agar hutumiwa kutenga aina moja tupu ya bakteria. Hata hivyo, ukuaji katika eneo/vyombo nyong'onyevu hutumika wakati kipimo cha ukuaji au kiasi kikubwa cha seli kinahitajika. Ukuaji katika vyombo vioewevu vilivyochochewa hufanyika kama vining'inio vya seli kwenye uoevu, na kufanya aina hizo rahisi kugawanyishwa na kuzihamisha, ingawa kutenga bakteria moja kutoka vyombo/eneo ya uoevu ni ngumu. Utumizi wa vyombo chagulizi (vyombo vilivyo ongezwa rutuba maalum au kupungukiwa nayo, au kuongezwa antibiotiki) inaweza kusaidia kubaini viumbe maalum.
85
Mbinu nyingi za maabara za kukuza bakteria hutumiakiasi kikubwa cha virutubisho kuzalisha kiasi kikubwa cha seli kwa bei nafuu na kwa haraka. Hata hivyo, katika mazingira ya asilia, rutuba ni adimu na kwa hivyo ina maana kuwa bakteria haziwezi kuendelea kuzaliana kwa muda usiojulikana. Kuadimika kwa virutubishi imesababisha mageuzi ya ukuaji wa mikakati mbalimbali (angalia r/K nadharia ya uteuzi). Baadhi ya viumbe vinaweza kukua kwa haraka sana wakati virutubisho vipatikanapo, kama vile ukuaji wa mwani (na sainobaktera) ambazo mara nyingi hutokea katika maziwa wakati wa msimu wa joto.
86
Vijiumbe vingine hukabiliana na mazingira mbaya, kama vile uzalishaji wa antibiotiki nyingi na Streptomaises ili kuzuia ukuaji wa vijiumbe shindani.
87
Katika maumbile, viumbe vingi huishi katika jamii (mfano bio-filamu) ambayo inaweza kuruhusu kuongezeka kwa ugavi wa virutubisho na ulinzi kutoka mazingira finyu.
31
Mahusiano haya yananaweza kuwa muhimu kwa ukuaji wa viumbe fulani au kundi la viumbe (sintrofi).
88
Ukuaji wa bakteria hufuata awamu tatu. Wakati idadi ya bakteria huingia kwanza katika mazingira yenye idadi kubwa ya virutubisho inayoruhusu ukuaji, chembechembe hujiselehi na mazingira yao mapya. Awamu ya kwanza ya ukuaji wa uchumi ni awamu timu, ni kipindi cha kukua polepole wakati seli zinazoea kuishi katika mazingara yenye virutubishi vingi na kujitayarisha kwa ukuaji wa haraka. Awamu ya timu ina viwango vya juu vya mmeng'enyo wa vyakula, kwani protini muhimu kwa ukuaji wa haraka zinazalishwa.
89
Awamu ya pili ya ukuaji hujulikana kama awamu ya logarithimu (awamu ya logi ), pia inajulikana kama awamu kielelezo. Awamu hii ina ukuaji wakielel ezo wa haraka. Kiwango cha ukuaji cha seli katika awamu hii inajulikana kama
kiwango cha ukuaji
(k)
, na muda seli zinachukua kuongezeka mara mbili inajulikana kama
muda wa kizazi
(g
). Wakati wa awamu logi, virutubishi humetabolaiziwa kwa kasi sana hadi kirutubisho kimoja kuisha na kuwa kikwazo cha ukuaji. Awamu ya mwisho ya ukuaji ni
awamu simamu
na husababishwa na virutubisho vilivyomalizika. Seli hupunguza shughuli zao za metaboli na hujitosheleza na protini zisizo-muhimu kwenye chembechembe. Awamu simamu ni kipindi cha mpito kutoka ukuaji wa haraka kwa hali finyu ya na witikio na kuna ongezeko kwa uelekezi wa jeni zinazohusika katika kutengeneza ADN ,metaboli wa vito-oksidishaji na usafirishaji wa madini.
90
Jenetikia
hariri
hariri chanzo
Makala kuu:
Jenomu
Bakteria wengi huwa na kromosomu moja ya mviringo na ukubwa kutoka misingi jozi 160,000 katika bakteria ya endosimbiotik
Candidatus Carsonella ruddii
91
hadi misingi jozi 12,200,000 katika bakteria zilizo na makao kwenye
Sorangium cellulosum
92
Spirochaete za
jenasi
Borrelia
ni mojawapo wa bakteria ya kipekee katika utaratibu huu, huku bakteria kama vile
Borrelia burgdorferi
, inayosababisha ugonjwa wa lyme,ikiwa na kromosumu moja kwenye laini. Jeni katika jinomu za bakteria kawaida huwa kijikamba kimoja kiendelezi cha ADN na ingawa kuna aina mbalimbali za introni zinazopatikana kwenye bakteria, ni nadra ikilinganishwa na ukariotes.
93
Bakteria pia zaweza kuwa na plasmids ambazo ni ADN ndogo zenye kromosumu za ziada zinazoweza kuwa na jeni zenye kupinga antibiotiki au virusi
94
Bakteria, kama viumbe hukuzana bila ngono, hurithi nakala za jeni za kufanana za wazazi wao (yaani ni klonal). Hata hivyo, bakteria zote zaweza kubadilika na uteuzi juu ya mabadiliko ya maumbile nyenzo katika ADN yao inayosababishwa na kuja pamoja kwa maumbile au miuteshion. Miuteshions hutotokana na makosa yaliyotokana wakati ADN inapojiiga au kutokana na kujieka wazi kwa visababishaji vya tarasani. Viwango vya mabadiliko ya viinisaba hutofautiana sana kati ya aina tofauti ya bakteria na hata miongoni mwa kloni mbalimbali za bakteria aina moja.
95
Mabadiliko ya kimaumbile katika jinomu za bakteria huja aidha kutokana na muteshion za nadra au "muteshion kutokana na hali finyu", ambapo jeni zinazohusika haswa katika michakato kadhaa za kudumisha ukuaji huongeza kiwango cha muteshion.
96
Baadhi ya bakteria pia kuhamisha nyenzo za maumbile miongoni mwa seli. Hii inaweza kutokea kwa njia tatu kuu. Kwanza, bakteria inaweza kuchukua ADN za kutoka nje ya seli chembe kwenye mazingira yao, katika mchakato huitwao mabadiliko. Jeni pia zaweza kusafirishwa kwa wa transdakshion wakati wa mkungamanisho wa bakteriafej huingiza ADN za kigeni kwenye kromosomu. Njia ya tatu ya kuhamisha jeni ni kukonjugati kwa bakteria ambapo ADN huhamishwa kwa njia ya moja kwa moja baina ya chembechembe. Njia hii ya kupatikana kwa jeni kutoka bakteria zingine au mazingira inajulikana kama uhamisho wa mlalo wa jeni na inaweza kuwa ya kawaida katika hali ya kawaida.
97
Uhamisho wa jeni ni muhimu katika upinzani dhidi ya antibiotiki kwani huruhusu uhamisho wa haraka wa jeni pinzani kati miongoni mwa pathojeni.
98
Tabia
hariri
hariri chanzo
Uchozaji
hariri
hariri chanzo
Bakteria mara kwa mara huwachilia kemikali kwenye mazingira yao ili kuyarekebisha iwafaavyo. Kemikali hizi mara nyingi huwa protini na mara nyingi hufanana na enzaimu kwa kusiaga aina fulani ya chakula katika mazingira.
Bioluminesenz
hariri
hariri chanzo
Bakteria chache huwa na mifumo ya kemikali ya kuzalisha mwangaza. Bakteri wa bioluminesenz mara nyingi hutokea katika bacteria wanaoishi katika muungano pamoja na samaki, na mwanga pengine husaidia kuvutia samaki au wanyama wengine wakubwa.
99
- tazama Athari ya kibahari ya Milky.
Uwepo wa seli nyingi
hariri
hariri chanzo
Bakteria mara nyingi hufanya kazi kama totala ya seli mingi inayojulikana kama bio-filamus, zikibadilishana ishara za molekuli mbalimbali kwa mawasiliano baina ya chembechembe, na kushiriki katika shuguli zenye uratibu.
100
101
Faida ya jumuiya ya ushirikiano wa pamoja wa seli za bakteria ni pamoja na ugavi wa kazi baina ya seli, upatifu wa rasilimali ambazo kawaida seli moja haiwezi kufanikiwa kutimiza, kwa pamoja kulinda dhidi ya adui , na kulinda dhidi ya kufifia kwa idadi yao kwa kujibadili hadi kwenye chembechembe tofauti.
100
Kwa mfano, bakteria katika bio-filamus zaweza kuwa zimeongeza upinzani wake kwa ajenti wa bakteria mara zaidi ya 500 kuliko "bakteria" za kipekee za planktonik za aina hiyo.
101
Aina moja ya mawasiliano baina ya seli kupitia ishara za molekuli inaitwa Kiwango hisi ambayo huumika kwa kusudi ya kutathmini uwepo wa msongamano wa idadi ya kutosha ili kujiingiza kwenye shughuli ambazo zitafanikiwa tu iwapo kuna idadi kubwa ya viumbe sawia vyenye kujishughulisha kwenye shughuli sawia, kama vile katika utoaji wa Enzaimu za utumbo au kutoa mwangaza.
Kiwango hisi huruhusu bakteria kuratibu kujieleza kwa jeni, na kuziwezesha kuzalisha, kutoa na kubaini uwepo wa autoindusa au feromoni ambazo hujilimbikiza na ukuaji wa idadi ya chembechembe.
102
Usongaji
hariri
hariri chanzo
Bakteria nyingi huenda kwa kutumia mbinu mbalimbali: flajela hutumika kwa kuogelea majini, utelezi na misuli ya bakteria huisongeza sakafuni, na mabadiliko ya ueleaji huruhusu mwendo wa wima.
103
Flajelam ya Bakteria ya Gram-hasi. Viendesha msingi vya mzunguko wa kunasa na filamenti.
Bakteria za kuogelea mara kadhaa husonga kiasi cha umbali wa miili yao mara 10 kwa sekunde na chache hata kwa kasi ya mara 100. Hii huwafanya angalau kuwa kasi kama samaki, kwa uzani fulani.
104
Katika utumizi wa misuli kusogelea, bakteria hutumia Pili aina ya IV kama ndoano ya kushikilia, zikiirefusha zaidi, zikiishiliza na kisha kuirudisha kwa kutumia nguvu ya ajabu (>80
pN)
105
Flajela ni miundo ya nusu-silinda iliyozungushwa na hufanya kazi kama propela kwa meli. Vitu vidogo kama bakteria hufanya kazi chini ya Nambari ya Reynold na mfumo wa silinda ni bora zaidi kuliko wa bapa, wa ki-kafi, mifumo muafaka kwa saizi ya binadamu.
106
Spishi za aina za bakteria hutofautiana katika idadi na mpangilio wa flajela juu yazo; baadhi zina flajela moja (monotrikaos), zingine zina flajela kila upembe (amfitrikas), mrundiko wa flajela kwenye ubanze wa seli (lofotrikas), wakati zingine zina flajela zilizosambazwa kote kwenye seli (peritrikos). Flajela ya bakteria ndiyo iliyoeleweka kama kiungo cha usongezi katika kiumbe chochote na imetengezwa kwa takribani protini 20, na takriban protini 30 zingine zikihitajika kwa ajili ya udhibiti wake na mkutano. Flajela ni kiumbo kinachoendeshwa kwa mfumo wa kupokezana wa mota iliyoko chini na hutumia gradient ya elektrokemia kwenye utando kwa nguvu. Mota hii husukuma mwendo wa filamenti, ambayo hufanya kazi kama propela.
Bakteria nyingi (kama vile
E. coli)
zina mbinu mbili tofauti za kujisongeza: kusonga mbele (kuogelea) na kutumbua. Kutumbua huziwezesha kujirekebisha na hufanya mwenendo zao kuwa tembezi baghala na mwenendo wa hali-tatu.(Tazama viungo vya nje chini kwa viungo zilizounganishwa na video.) Flajela wa kundi la kipekee la bakteria, spairochet, hupatikana kati ya utando mbili katika nafasi ya periplasmik. Wana mwili wa kipekee wa helikal ambao hufurukuta inaposonga.
103
Bakteria songezi huvutiwa au hukataliwa kwa baadhi ya chochezi katia tabia iitwayo
taksis
: na hizi hujumulisha kemotaksis, fototaksis na magnetotakis.
107
108
Katika kundi moja pekee, myksobakteria, bakteria za kipekee hutembea pamoja kuunda mawimbi ya seli ambayo huunda vyombo vyenye matunda.
34
Myksoobakteria husogelea tu kwenye sakafu kavu, tofauti na
E. coli
ambayo husogelea katika miundo kavu au oevu.
Listeria
na
Shigella
kadhaa husogelea ndani ya seli enyeji kwa kupenyeza saitoskeletoni, ambayo kawaida hutumika kwa kusafairisha viini ndani ya seli. Kwa kukuza upolimishaji wa actin kwenye banzi moja ya seli, zaweza kuunda aina ya mkia unaozisukuma kwenye saitoplasm ya seli enyeji.
109
Uainisho na utambulisho
hariri
hariri chanzo
Mabadiliko ya Streptococcus inavyoonekana katika doa la Gram
Makala kuu:
Uainishaji wa kisayansi
Madhumuni ya uainishaji ni kuelezea spishi tofauti za bakteria kwa kuzitaja na kuwaweka viumbe msingi yanayofanana. Bakteria wanaweza kwa misingi ya umbo la kiini chao, umetaboli wa seli au kwa mujibu wa tofauti wa yaliyomo kwenye seli kama vile ADN, asidi za mafuta, rangi asili, antijeni s na kuinoni s.
85
Ingawa skimu hizi ziliruhusu utambulisho na Uainishaji wa bakteria, haikubainika wazi kama tofauti hizi ziliwakilisha aina mbalimbali za spishi mbili tofauti ama aina ya spishi moja. uhakika huu umebadilisha kutokana na ukosefu wa miundo tofauti katika bakteria wengi, kama vile uhamisho jeni lateral kati ya aina unrelated. Kutokana na uhamisho wa jeni ya chini, baadhi ya bakteria wanaohusiana kwa karibu wanaweza kuwa umbo na umetaboli tofauti. Ili kuondokana na dukuduku hili, uainishaji wa bakteria wa kisasa husisitiza mpangilio wa molekiuli, kwa kutumia mbinu za kimaumbile kama vile guanine uwiano wa uamuzi wa sitosini uzalishaji wa genome-genome, pamoja na uratibishaji wa jeni ambazo hazijapitia ubadilishanaji mkubwa wa jeni za chini, kama vile jeni ya RNA.
110
Uainisho wa bakteria umetokana na Juzuu la Kimataifa kuhusu Mfumo Taaluma ya Bakteria,
111
na Muongozo wa Bergey wa utaratibu Taaluma ya Bakteria.
112
Kamati ya Kimataifa juu ya Utaratibu Wa Bakteriolojia (ICSB) ndiyo hulinda kanuni za kimataifa za kuwapa majina makundi mbalimbali ya bakteria na kuwaweka katika viwango tofauti katika Kanuni ya Kimataifa ya majina ya Bakteria.
Awali neno "bakteria" lilitumika kwa vijiumbe vyote vidogo, prokaryoti za seli moja. Hata hivyo, mifumo ya molekiuli ilionyesha maisha ya prokaryoti yakiwa na sehemu mbili tofauti ambazo awali ziliitwa
Eubacteria
na
Archaebacteria,
lakini ambayo kwa sasa inazoitwa
Bakteria
na
Akea
ambayo ilitokana na mabadiliko ya kujitegemea kutoka mababu zao. Akea na yukaryoti hufanana sana kinyume na ilivyo na bakteria. Hii miundo miwili, pamoja na Yukarya, ndio msingi wa mfumo wa sehemu tatu ambayo kwa sasa ndiyo hutumika sana katika uainisho wa mikrobiolojia.
113
Hata hivyo, kutokana na kuanzishwa kwa hivi karibuni mifumo ya molekiuli na kuongezeka kwa kasi kwa idadi ya mfululizo wa genome waliopo,uainisho wa bakteria unaendelea kubadilika na kuwa eneo pana.
114
Kwa mfano, wanabiolojia wachache wanadai kuwa Akea na Yukaryoti walitokana na mabadiliko chanya ya bakteria ya Gram.
115
Utambulisho wa bakteria katika maabara ni muhimu, hasa katika dawa, ambapo matibabu sahihi hutokana na spishi inayosababisha maambukizi. Kwa hiyo, haja ya kutambua visababisha magonjwa ya binadamu ilikuwa msukumo mkubwa katika maendeleo ya kuibua mbinu za kutambua bakteria.
Phylogenetic tree
showing the diversity of bacteria, compared to other organisms.
116
Eukaryotes
are colored red,
archaea
green and bacteria blue.
Waa la Gram, iliyoasisiwa mwaka 1884 na
Hans Christian Gram
, inaweka bakteria katika makundi mbalimbali kwa msingi wa miundo ya kuta za seli zao.
56
Rusu nene za peptidoglaikoni "Gram-chanya" kuta za seli huwa na baka la zambarau ilihali ile nyembamba nyembamba "Gram-hasi" ukuta wa seli huonekana kuwa wa waridi. Kwa kuchanganya mofolojia na madoa ya Gram, bakteria wengi wanaweza kuainishwa kama waliyo kwenye kundi moja kati ya makundi manne (Gram-positive cocci, bacilli Gram-positive, cocci Gram-negative na bacilli Gram-negative bacilli). Baadhi ya viumbe hutambulika vizuri kwa kutumia mabaka kando na baka la Gram, hususan maikobakteria au
Nokardia,
ambao huonyesha kasi ya asidi wakati wako kwenye Ziehl-Neelsen au baka sawia na hilo.
117
Baadhi ya viumbe wanaweza kutambuliwa kwa kuwalea katika mazingira na vifaa maalumu, au kwa mbinu nyingine, kama vile serolojia.
Mbinu za mazingira maalumu zimebuniwa ili kukuza ukuaji na kutambua bakteria fulani, huku zikizuia ukuaji wa baadhi ya sampuli za bakteria. Mara nyingi mbinu hizi huwa zimeundwa kwa spishi maalumu, kwa mfano, sampuli ya sputum inaweza kushughulikwa ili kuonyesha ni vijiumbe gani husababishakichomi, ilihali sampuli za kinyesi hukuzwa katika mazingira maalumu kutambua vijiumbe ambao husababisha kuhara, huku ukidhibiti ukuaji wa vijiumbe visivyoleta magonjwa. Sampuli ambazo kwa kawaida huwa tasa, kama vile
damu
, mkojo au maji ya mti wa mgongo, hukuzwa katika mazingira ambayo yanaweza kukuza vijiumbe vya kila nui.
85
118
Mara tu kijiumbe kinachosababisha magonjwa kinapotengwa, kinaweza kuelezewa zaidi kupitia kwa umbo lake, ruwaza za ukuaji kama vile (ukuaji wa aerobiki au ukuaji, mifumo ya hemolisi) na matumizi ya mabaka.
Kama ilivyo na uinisho wa bakteria, matumizi ya njia ya molekiuli katika utambulishio wa bakteria yanaendelea kuongezeka. Matibabu ya kutumia vifaa vya msingi wa ADN, kama vile mchakato wa mmenyeko wa polimerase, unazidi kuwa na umaarufu kutokana na umahususi na kasi yake, ikilinganishwa njia za ukuaji katika mazingira maalumu.
119
Aidha, mbinu hizi huruhu uchunguzi na utambuzi wa seli zilizo hai lakini ambazo hazijakuzwa katika mazingira maalumu ambazo hazijigawanyi lakini zina umetaboli.
120
Hata hivyo, kando na kutumia mbinu hizi zilizoboreshwa, idadi kamili ya spishi za bakteria haijulikani na haiwezi kukadiriwa na uhakika wowote. Kufuatia uainisho wa sasa, spishi za bakteria zinazojulikana ni chini ya 9,000 (ikiwa ni pamoja na cyanobacteria),
121
lakini majaribio ya kukisia viwango kamili vya baketeria mbalimbali vimekuwa kati ya
107 hadi 109 jumla ya spishi-na hata hayo makadirio haya mbalimbali yanaweza kuwa na viwango vingi vya kiasi mabalimbali.
122
123
Mwingiliano na viumbe wengine
hariri
hariri chanzo
Licha ya ukawaida wao, bakteria wanaweza kuwa na muungano mkubwa na viumbe wengine. Uhusiano huu wa kutegemeana kugawanywa unaweza kugawanwa katika uhsiano wa ukupe, kutoshelezana na kunufaika. Kutokana na udogo wao, bakteria za komeshuali huwa na maumbo yasiyoeleweka na huishi kwa wanyama na mimea kama wanavyokua katika sehemu nyingine. Hata hivyo, ukuaji ukuaji wao unaweza kuongezwa kwa joto na jasho, na idadi kubwa ya viumbe hawa kwa binadamu ndiyo husababisha harufu ya mwili.
Wawindaji
hariri
hariri chanzo
Baadhi ya spishi za bakteria huua na hula vijiumbe vingine, viumbe hawa huitwa bakteria wawindaji.
124
Hawa ni pamoja na vijiumbe kama vile
Myxococcus xanthus,
ambao huunda kundi la seli ambazo huua na kumeng'enya bakteria yoyote wanayokutana nayo.
125
Bakteria nyingine wawindaji ama hujiunganisha kwenye mawindo yao ili kuimeng'enya na kunyonya virutubisho, kama vile
Vampirococcus,
au huvamia seli nyingine na kuzaana ndani ya sehemu wazi ya seli, kama vile
Daptobacter.
126
Bakteria wawindaji zinadhaniwa kwamba zilitokana na saprophages ambao walikula mizoga, na kutokana na mazoea iliwawezesha kunasa na kuua vijiumbe wengine.
127
Wanaotegemeana
hariri
hariri chanzo
Baadhi ya bakteria huwa na uhusia wakaribu na huunda makundi ambayo nimuhimu katika maisha yao. Mfano mmoja wauhusiano huu wa kutegemeana uitwao uhamisho wa haidrojeni hutokea kati ya makundi ya bakteria wa aerobiki na wale wa anaerobiki ambao hula asidi ya kaboni kama vile asidi biutiriki au asidi propioniki na huzalisha
haidrojeni
, na methanogeni ya Akea ambayo hutumia haidrojeni.
128
bakteria katika uhusiano huu hawawezi kutumia asidi ya kaboni kwa sababu mmenyeko hutoa haidrojeni ambayo hujilimbikiza katika mazingira yao. Ni uhusiano huu tu wa ndani na Akea wanaotumia haidrojeni ambao hudhibiti viwango vya haidrojeni kuwa chini ilikuruhusu bakteria kukua.
Katika
udongo
, vijiumbe wanaoishi kwenye raizosifia ya (a ukanda wa ozoni ambao ni pamoja na mizizi na udongo hunata kwenye mizizi baada ya kutikisa) hutekeleza jukumu la kuongeza nitrojeni kwa kuwageuza gesi ya nitrojeni kuwa misombo ya nitrojeni.
129
Hii husaidia kutooa aina ya haidrojeni ambayo inanyonyek kwa urahisi na mimea mingi, ambayo haiwezi kujiongezea oksijeni yenyewe. Bakteria wengine wengi hupatikana kama saimbioti katika binadamu na viumbe wengine. Kwa mfano, uwepo wa spishi za bakteria zaidi ya 1,000 katika utumbo wa binadamu unaweza kuchanga katika kinga ya utumbo mmeng'enyo wa vitamini kaama vile asidi ya foliki vitamini k na
biotin
, kubadilisha
protini ya maziwa
na
asidi laktik
(Tazama
Lactobacillus
), pamoja na uchachushaji wa kabohaidreti kubwa zisizomeng'enyeka.
130
131
132
Uwepo wa utumbo huu hudhibiti wa vimelea ambavyo husababisha magonjwa (kawaida kwa kutengwa kwa lazima) na bakteria hawa wa manufaa huuzwa kama chakula mbadala cha probiotiki.
133
Picha inayoonyesha bakteriainayosababisha homa ya matumbo ikivamia seli za binadamu katika mazingira maalumu
Vimelea vinavyosababisha magonjwa
hariri
hariri chanzo
Makala kuu:
Bakteria na maradhi
Iwapo bakteria watakuwa na uhusiano wa kupe na viumbe wengine, huainishwa kama vimelea vya magonjwa. Bakteria wanaosababisha magonjwa ndiyo husababisha vifo vingi kwa binadamu na husababisha magonjwa ya kuambukizwa kama vile pepopunda,
homa ya matumbo
, mkamba,
kaswende
kipindupindu
, magonjwa yanayotokana na chakula, ukoma na
kifua kikuu.
Kimelea kinachojulikana kwa kusababisha magonjwa kinaweza kujulikana baada ya miaka mingi, kama ilivyokuwa kwa
Helicobacter pylori
na ugonjwa vidonda vya tumbo wa
peptiki.
Magonjwa ya bakteria ni muhimu pia katika
kilimo
, huku bakteria wakisababisha madoa ya matawi, kukauka na kupukutika katika mimea, kadhalikaugonjwa wa Johne, ugonjwa wa maziwa, salmonella na kimeta katika wanyama wa kufugwa.
Kila spishi ya pathojeni ina tabia ya mwingiliano na miili ya binadamu. Baadhi ya viumbe, kama vile
Staphylococcus
au
Streptococcus,
wanaweza kusababisha maambukizi ya ugonjwa wa ngozi, kichomi,
ugonjwa wa uti wa mgongo
na hata sepsis kupita kiasi, uvimbe wa mara kwa mara ambao huleta mshtuko, kunyong'onyea kwa mishipa ya damu na kifo.
134
Hata hivyo, viumbe hawa ni sehemu ya kawaida ya binadamu na mimea na huwa kwenye ngozi
au pua
bila kusababisha ugonjwa wowote. Viumbe vingine husababisha magonjwa kwa binadamu, kama vile Rickettsia, ambayo ni kimelea cha ndani ya seli ambayo huweza kukua na kuzaa kama iko ndani ya viumbe wengine. Spishi moja ya Rickettsia husababisha homaya matumbo, ilihali nyingine husababisha homa inayopatikana maeneo ya milima.
Klamidia,
kundi lingine la vimelea wa ndani, ina ina spishi ambazo zinaweza kusababisha kichomi, au maambukizi ya magonjwa ya njia ya mkojo na kuchangia katika magonjwa ya mishipa ya moyo.
135
Mwisho kabisa, baadhi ya spishi kama vile Pseudomonas aeruginosa, Burkholderia cenocepacia, na Mycobacterium avium ni ni pathojeni ambazo hutaka kutumia hali fulani ya binadamu walio na uhaba wa kinga ya magonjwa ama chanagarawe za s aitiki.
136
Muhtasari wa maambukiziya bakteria na spishi maalumu zinazohusika.
Maambukizi ya bakteria yanaweza kutibiwa na
antibaotiki
, ambazo huitwa antibakteriasida kama zinaweza kuua vimelea, au kusitisha ukuaji wa bakteria. Kuna antibaotiki za aina nyingi na kila kundi huzuia mchakato tofauti na ule wa pathojenikando na ule unaopatikana kwenye mazingira ilimo. Mfano wa jinsi bakteria wanavyotoa sumu kiuchaguzi ni kloramfebikoli na puromaisini, ambayo huzuia ribosomu ya bakteria, lakini si ribosomu ya yukaryoti ya umbo tofauti.
137
Antibiotiki hutumiwa katika kutibu magonjwa ya binadamu na katika kilimo kikubwa kukuza ukuaji wa wanyama, ambapo zinaweza kuchangia katika ukuaji wa kasi ya uwezo wa kupigana na idadi ya bakteria.
138
Maambukiziyanaweza kuzuiwa kwa kutumia maagizo ya antiseptiki kama vile kusafisha ngozi kabla ya kuitoboa kwa sindano au sirenji, na kwa utunzaji mzuri wa katheta za nyumbani. Vifaa vya upasuaji na vya meno pia husafishwa kuzuia kuchafuka kutokana na bakteria. Sabuni za kuosha kama vile blichi hutumiwa kuua bakteria au pathojeni zingine katika sehemu mablimbali ili kuzuia uchafu na uwezekano wa kuambukizwa ugonjwa.
Maadui
hariri
hariri chanzo
Makala kuu:
Bakteriofagi
Bakteriofagi
(pia fagi au vilabakteria) ni virusi vilivyo na uwezo wa kushambulia na kuua bakteria ili kuongeza idadi yao
139
. Kuna spishi nyingi za bakteriofagi zinazoshambulia spishi zote za bakteria na
arkea
kwa kuingiza ADN au ARN ndani yao na kushirikisha utaratibu wa seli kutoa
virioni
mpya. Bakteria hupinga maambukizo ya fagi kupitia mfumo tata wa kijeni ambao huharibu ADN au ARN ya kigeni
140
Jenomu
ya bakteriofagi nyingi huunganishwa katika ile ya
kimelewa
na inaweza kukaa
bwete
kwa muda wa
vizazi
vingi. Baadhi ya jeni za bakteriofagi zinaweza kuchangia
sifajeni
(fenotipi) ya vimelewa vyao. Kwa mfano,
koo
fulani za
Escherichia coli
na za
Clostridium botulinum
zina
sumu
kwa sababu ya
toksini
zinazozalishwa na jeni za bakteriofagi, wakati koo bila jeni hizo hazina sumu. Jeni hizo hunakiliwa na bakteria pamoja na jeni zao binafsi, ambayo inawapatia uwezo wa kusababisha magonjwa
141
Umuhimu katika teknolojia na viwanda
hariri
hariri chanzo
Makala kuu:
Bakteria na uchumi
Bakteria, hususan bakteria wa asidi ya laktiki kama vile
Lactobacillus
na
Lactococcus,
inapoongezwa chachu, wametumika kwa maelfu ya miaka katika maandalizi ya vyakula vya kuchachusha kama vile
jibini
, sosi ya soya,
divai
na
siki
142
143
Uwezo wa bakteria kuharibu misombo mbalimbali ya kaboni ni muhimu na imetumika katika
usindikaji
wa taka na na ufuaji wa misombo ya kaboni kutoka kwa taka. Bakteria wenye uwezo wa kusaga haidrokaboni katika
mafuta ya petroli
mara nyingi hutumika kusafisha mafuta yanayovuja.
144
Mbolea iliongezwa kwa baadhi ya fukwe katika Prince William Sound katika jaribio la kukuza ukuaji wa kawaida wa hawa bakteria baada ya kuvuja ambako kulileta hasara kwa mwaka 1989
Exxon Valdez
. Juhudi hizi zilifanikiwa katika fukwe ambazo hazikuwa zimefunikwa na rusu nene ya mafuta. Bakteria pia hutumika katika ufufuaji wa misombo ya kaboni kutoka taka za viwanda zenye sumu.
145
Katika sekta ya viwanda vya kemikali, bakteria ni muhimu katika uzalishaji wa kemikali safi za enatiomeriki ambazo hutumika kama dawa au dawa za mimea.
146
Bakteria pia zinaweza kutumika badala ya dawa za kuua wadudu katika kudhibiti wadudu kibiolojia. Kwa kawaida hii huhusisha
Bacillus thuringiensis
(pia huitwa BT), bakteria ya Gram-chanya inayopatikana katika udongo. Spishi ndogo za hii bakteria hutumika kama dawa maalumu ya kuua wadudu ya Lepidoptera inayojulikana kwa jina la madukani kama vile Dipel na Thuricide.
147
Kwa sababu ya umaalumu wao, dawa hizi zinaaminika kuwa hazina madhara yoyote katika mazingira, bila atahri yoyote kwa binadamu wanyama, wadudu wa kufyonza na wadudu wengine wengi wenye manufaa kwa binadamu.
148
149
Kwa sababu ya uwezo wao kukua kwa haraka na urahisi ambao wanaweza kubadilishwa, bakteria hutumika pakubwa katika biolojia ya molekiuli {0,{/0} taaluma ya nasaba au
jenetikia
na
biokemia
. Kwa kubadilika katika maumbo ya ADN ya bakteria na kuchunguza umbo la nje linalotokea, wanasayansi wanaweza kujua dhima ya jeni,
vimeng'enya
na njia za umetaboli katika bakteria, na kutumia ujuzi huu kwenye wanyama wakubwa.
150
Lengo la kulewa biokemi ya seli na hufikia kiwango chake tata katika usagaji wa wa iadi kubwa ya vimeng'enya na maelezo ya data ya jeni katika mtindo wa hisabati ya viumbe wote. Hali hii inaweza kufikiwa katika baadhi ya bakteria ambao wametafitiwa vizuri, wenye maumbo ya umetaboli wa
Escherichia coli
ambao kwa sasa wanazalishwa na kujaribiwa.
151
152
Uelewa wa umetaboli wa bakteria na jenetikia yake inawezesha matumizi ya bioteknolojia katika uhandisi wa bakteria kwa ajili ya uzalishaji wa protini ya matibabu, kama vile insulini, nyenzo za ukuaji, au kingamwili.
153
154
Tazama Pia
hariri
hariri chanzo
Bioteknolojia
Orodha ya makundi ya bakteria
Kidubini
Kanuni ya kimataifa ya majina ya bakteria
Tanbihi
hariri
hariri chanzo
Porter JR (1976).
"Antony van Leeuwenhoek: tercentenary of his discovery of bacteria"
Bacteriological Reviews
40
(2): 260–9.
PMC
413956
PMID
786250
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
"Etymology of the word "bacteria"
Online Etymology dictionary
. Iliwekwa mnamo
2006-11-23
"Pasteur's Papers on the Germ Theory"
. LSU Law Center's Medical and Public Health Law Site, Historic Public Health Articles
. Iliwekwa mnamo
2006-11-23
"The Nobel Prize in Physiology or Medicine 1905"
. Nobelprize.org
. Iliwekwa mnamo
2006-11-22
O'Brien S, Goedert J (1996). "HIV causes AIDS: Koch's postulates fulfilled".
Curr Opin Immunol
(5): 613–618.
doi
10.1016/S0952-7915(96)80075-6
PMID
8902385
Thurston A (2000). "Of blood, inflammation and gunshot wounds: the history of the control of sepsis".
Aust N Z J Surg
70
(12): 855–61.
doi
10.1046/j.1440-1622.2000.01983.x
PMID
11167573
Schwartz R (2004).
"Paul Ehrlich's magic bullets"
N Engl J Med
350
(11): 1079–80.
doi
10.1056/NEJMp048021
PMID
15014180
"Biography of Paul Ehrlich"
. Nobelprize.org
. Iliwekwa mnamo
2006-11-26
Woese C, Fox G (1977).
"Phylogenetic structure of the prokaryotic domain: the primary kingdoms"
Proc Natl Acad Sci USA
74
(11): 5088–5090.
doi
10.1073/pnas.74.11.5088
PMC
432104
PMID
270744
Woese CR, Kandler O, Wheelis ML (1990).
"Towards a natural system of organisms: proposal for the domains Archaea, Bacteria, and Eucarya"
Proceedings of the National Academy of Sciences of the United States of America
87
(12): 4576–9.
doi
10.1073/pnas.87.12.4576
PMC
54159
PMID
2112744
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Schopf J (1994).
"Disparate rates, differing fates: tempo and mode of evolution changed from the Precambrian to the Phanerozoic"
Proc Natl Acad Sci USA
91
(15): 6735–42.
doi
10.1073/pnas.91.15.6735
PMC
44277
PMID
8041691
DeLong E, Pace N (2001). "Environmental diversity of bacteria and archaea".
Syst Biol
50
(4): 470–78.
doi
10.1080/106351501750435040
PMID
12116647
Brown JR, Doolittle WF (1997).
"Archaea and the prokaryote-to-eukaryote transition"
Microbiology and Molecular Biology Reviews
61
(4): 456–502.
PMC
232621
PMID
9409149
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
Di Giulio M (2003).
"The universal ancestor and the ancestor of bacteria were hyperthermophiles"
J Mol Evol
57
(6): 721–30.
doi
10.1007/s00239-003-2522-6
PMID
14745541
Battistuzzi FU, Feijao A, Hedges SB (2004).
"A genomic timescale of prokaryote evolution: insights into the origin of methanogenesis, phototrophy, and the colonization of land"
BMC Evolutionary Biology
: 44.
doi
10.1186/1471-2148-4-44
PMC
533871
PMID
15535883
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
) CS1 maint: unflagged free DOI (
link
Poole A, Penny D (2007). "Evaluating hypotheses for the origin of eukaryotes".
Bioessays
29
(1): 74–84.
doi
10.1002/bies.20516
PMID
17187354
Dyall S, Brown M, Johnson P (2004).
"Ancient invasions: from endosymbionts to organelles"
Science
304
(5668): 253–7.
doi
10.1126/science.1094884
PMID
15073369
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Lang B, Gray M, Burger G (1999). "Mitochondrial genome evolution and the origin of eukaryotes".
Annu Rev Genet
33
: 351–97.
doi
10.1146/annurev.genet.33.1.351
PMID
10690412
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
McFadden G (1999). "Endosymbiosis and evolution of the plant cell".
Curr Opin Plant Biol
(6): 513–9.
doi
10.1016/S1369-5266(99)00025-4
PMID
10607659
Schulz H, Jorgensen B (2001).
"Big bacteria"
Annu Rev Microbiol
55
: 105–37.
doi
10.1146/annurev.micro.55.1.105
PMID
11544351
Robertson J, Gomersall M, Gill P. (1975).
"Mycoplasma hominis: growth, reproduction, and isolation of small viable cells"
J Bacteriol
124
(2): 1007–18.
PMC
235991
PMID
1102522
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Velimirov, B. (2001).
"Nanobacteria, Ultramicrobacteria and Starvation Forms: A Search for the Smallest Metabolizing Bacterium"
Microbes and Environments
16
(2): 67–77.
doi
10.1264/jsme2.2001.67
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2009-01-13
. Iliwekwa mnamo
2008-06-23
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
Dusenbery, David B.2009). Living at Micro Scale, pp.20-25. Harvard University Press, Cambridge, Mass
ISBN 978-0-674-03116-6
Fritz I, Strömpl C, Abraham W (2004).
"Phylogenetic relationships of the genera Stella, Labrys and Angulomicrobium within the 'Alphaproteobacteria' and description of Angulomicrobium amanitiforme sp. nov"
Int J Syst Evol Microbiol
54
(Pt 3): 651–7.
doi
10.1099/ijs.0.02746-0
PMID
15143003
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2008-10-10
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Wanger, G; Onstott, TC; Southam, G (2008). "Stars of the terrestrial deep subsurface: A novel `star-shaped' bacterial morphotype from a South African platinum mine".
Geobiology
(3): 325–330.
doi
10.1111/j.1472-4669.2008.00163.x
PMID
18498531
{{
cite journal
}}
More than one of
author=
na
last1=
specified (
help
Cabeen M, Jacobs-Wagner C (2005). "Bacterial cell shape".
Nat Rev Microbiol
(8): 601–10.
doi
10.1038/nrmicro1205
PMID
16012516
Young K (2006).
"The selective value of bacterial shape"
Microbiol Mol Biol Rev
70
(3): 660–703.
doi
10.1128/MMBR.00001-06
PMC
1594593
PMID
16959965
Douwes K, Schmalzbauer E, Linde H, Reisberger E, Fleischer K, Lehn N, Landthaler M, Vogt T (2003). "Branched filaments no fungus, ovoid bodies no bacteria: Two unusual cases of mycetoma".
J Am Acad Dermatol
49
(2 Suppl Case Reports): S170–3.
doi
10.1067/mjd.2003.302
PMID
12894113
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Donlan R (2002).
"Biofilms: microbial life on surfaces"
Emerg Infect Dis
(9): 881–90.
PMC
2732559
PMID
12194761
Branda S, Vik S, Friedman L, Kolter R (2005).
"Biofilms: the matrix revisited"
Trends Microbiol
13
(1): 20–26.
doi
10.1016/j.tim.2004.11.006
PMID
15639628
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Davey M, O'toole G (2000).
"Microbial biofilms: from ecology to molecular genetics"
Microbiol Mol Biol Rev
64
(4): 847–67.
doi
10.1128/MMBR.64.4.847-867.2000
PMC
99016
PMID
11104821
Donlan RM, Costerton JW (2002).
"Biofilms: survival mechanisms of clinically relevant microorganisms"
Clin Microbiol Rev
15
(2): 167–93.
doi
10.1128/CMR.15.2.167-193.2002
PMC
118068
PMID
11932229
Shimkets L (1999).
"Intercellular signaling during fruiting-body development of Myxococcus xanthus"
Annu Rev Microbiol
53
: 525–49.
doi
10.1146/annurev.micro.53.1.525
PMID
10547700
Kaiser D (2004).
"Signaling in myxobacteria"
Annu Rev Microbiol
58
: 75–98.
doi
10.1146/annurev.micro.58.030603.123620
PMID
15487930
Berg JM, Tymoczko JL Stryer L (2002).
Molecular Cell Biology
(tol.
la
5th). WH Freeman.
ISBN
0-7167-4955-6
Gitai Z (2005). "The new bacterial cell biology: moving parts and subcellular architecture".
Cell
120
(5): 577–86.
doi
10.1016/j.cell.2005.02.026
PMID
15766522
Shih YL, Rothfield L (2006).
"The bacterial cytoskeleton"
Microbiology and Molecular Biology Reviews
70
(3): 729–54.
doi
10.1128/MMBR.00017-06
PMC
1594594
PMID
16959967
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
Gitai Z (2005). "The new bacterial cell biology: moving parts and subcellular architecture".
Cell
120
(5): 577–86.
doi
10.1016/j.cell.2005.02.026
PMID
15766522
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
Norris V, den Blaauwen T, Cabin-Flaman A; na
wenz. (2007).
"Functional taxonomy of bacterial hyperstructures"
Microbiology and Molecular Biology Reviews
71
(1): 230–53.
doi
10.1128/MMBR.00035-06
PMC
1847379
PMID
17347523
{{
cite journal
}}
Explicit use of et al. in:
author=
help
Unknown parameter
month=
ignored (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Kerfeld CA, Sawaya MR, Tanaka S; na
wenz. (2005).
"Protein structures forming the shell of primitive bacterial organelles"
Science (journal)
309
(5736): 936–8.
doi
10.1126/science.1113397
PMID
16081736
{{
cite journal
}}
Explicit use of et al. in:
author=
help
Unknown parameter
month=
ignored (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Bobik, T. A. (2007).
"Bacterial Microcompartments"
(PDF)
Microbe
. Am Soc Microbiol: 25–31. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
(PDF)
mnamo 2008-08-02
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
Yeates TO, Kerfeld CA, Heinhorst S, Cannon GC, Shively JM (2008). "Protein-based organelles in bacteria: carboxysomes and related microcompartments".
Nat. Rev. Microbiol
(9): 681–691.
doi
10.1038/nrmicro1913
PMID
18679172
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Harold FM (1972).
"Conservation and transformation of energy by bacterial membranes"
Bacteriological Reviews
36
(2): 172–230.
PMC
408323
PMID
4261111
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
Bryant, DA; Frigaard, NU (2006). "Prokaryotic photosynthesis and phototrophy illuminated".
Trends Microbiol
14
(11): 488.
doi
10.1016/j.tim.2006.09.001
PMID
16997562
{{
cite journal
}}
More than one of
author=
na
last1=
specified (
help
Psencík J, Ikonen TP, Laurinmäki P; na
wenz. (2004).
"Lamellar organization of pigments in chlorosomes, the light harvesting complexes of green photosynthetic bacteria"
Biophys. J
87
(2): 1165–72.
doi
10.1529/biophysj.104.040956
PMC
1304455
PMID
15298919
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2020-05-10
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Explicit use of et al. in:
author=
help
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
Unknown parameter
month=
ignored (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Thanbichler M, Wang S, Shapiro L (2005). "The bacterial nucleoid: a highly organized and dynamic structure".
J Cell Biochem
96
(3): 506–21.
doi
10.1002/jcb.20519
PMID
15988757
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Fuerst J (2005).
"Intracellular compartmentation in planctomycetes"
Annu Rev Microbiol
59
: 299–328.
doi
10.1146/annurev.micro.59.030804.121258
PMID
15910279
Poehlsgaard J, Douthwaite S (2005). "The bacterial ribosome as a target for antibiotics".
Nat Rev Microbiol
(11): 870–81.
doi
10.1038/nrmicro1265
PMID
16261170
Yeo M, Chater K (2005).
"The interplay of glycogen metabolism and differentiation provides an insight into the developmental biology of Streptomyces coelicolor"
Microbiology
151
(Pt 3): 855–61.
doi
10.1099/mic.0.27428-0
PMID
15758231
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2007-09-29
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
Shiba T, Tsutsumi K, Ishige K, Noguchi T (2000).
"Inorganic polyphosphate and polyphosphate kinase: their novel biological functions and applications"
Biochemistry (Mosc)
65
(3): 315–23.
PMID
10739474
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2006-09-25
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Brune DC (1995).
"Isolation and characterization of sulfur globule proteins from Chromatium vinosum and Thiocapsa roseopersicina"
Archives of Microbiology
163
(6): 391–9.
doi
10.1007/BF00272127
PMID
7575095
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
Kadouri D, Jurkevitch E, Okon Y, Castro-Sowinski S (2005). "Ecological and agricultural significance of bacterial polyhydroxyalkanoates".
Critical Reviews in Microbiology
31
(2): 55–67.
doi
10.1080/10408410590899228
PMID
15986831
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Walsby AE (1994).
"Gas vesicles"
Microbiological Reviews
58
(1): 94–144.
PMC
372955
PMID
8177173
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
van Heijenoort J (2001).
"Formation of the glycan chains in the synthesis of bacterial peptidoglycan"
Glycobiology
11
(3): 25R–36R.
doi
10.1093/glycob/11.3.25R
PMID
11320055
Koch A (2003).
"Bacterial wall as target for attack: past, present, and future research"
Clin Microbiol Rev
16
(4): 673–87.
doi
10.1128/CMR.16.4.673-687.2003
PMC
207114
PMID
14557293
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2008-09-28
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
Gram, HC
(1884). "Über die isolierte Färbung der Schizomyceten in Schnitt- und Trockenpräparaten".
Fortschr. Med
: 185–189.
Hugenholtz P (2002).
"Exploring prokaryotic diversity in the genomic era"
Genome Biology
(2): REVIEWS0003.
doi
10.1186/gb-2002-3-2-reviews0003
PMC
139013
PMID
11864374
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2020-03-15
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
CS1 maint: unflagged free DOI (
link
Walsh F, Amyes S (2004). "Microbiology and drug resistance mechanisms of fully resistant pathogens".
Curr Opin Microbiol
(5): 439–44.
doi
10.1016/j.mib.2004.08.007
PMID
15451497
Engelhardt H, Peters J (1998). "Structural research on surface layers: a focus on stability, surface layer homology domains, and surface layer-cell wall interactions".
J Struct Biol
124
(2–3): 276–302.
doi
10.1006/jsbi.1998.4070
PMID
10049812
Beveridge T, Pouwels P, Sára M, Kotiranta A, Lounatmaa K, Kari K, Kerosuo E, Haapasalo M, Egelseer E, Schocher I, Sleytr U, Morelli L, Callegari M, Nomellini J, Bingle W, Smit J, Leibovitz E, Lemaire M, Miras I, Salamitou S, Béguin P, Ohayon H, Gounon P, Matuschek M, Koval S (1997). "Functions of S-layers".
FEMS Microbiol Rev
20
(1–2): 99–149.
PMID
9276929
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Kojima S, Blair D (2004). "The bacterial flagellar motor: structure and function of a complex molecular machine".
Int Rev Cytol
233
: 93–134.
doi
10.1016/S0074-7696(04)33003-2
PMID
15037363
Beachey E (1981).
"Bacterial adherence: adhesin-receptor interactions mediating the attachment of bacteria to mucosal surface"
J Infect Dis
143
(3): 325–45.
PMID
7014727
Silverman P (1997). "Towards a structural biology of bacterial conjugation".
Mol Microbiol
23
(3): 423–9.
doi
10.1046/j.1365-2958.1997.2411604.x
PMID
9044277
Stokes R, Norris-Jones R, Brooks D, Beveridge T, Doxsee D, Thorson L (2004).
"The glycan-rich outer layer of the cell wall of Mycobacterium tuberculosis acts as an antiphagocytic capsule limiting the association of the bacterium with macrophages"
Infect Immun
72
(10): 5676–86.
doi
10.1128/IAI.72.10.5676-5686.2004
PMC
517526
PMID
15385466
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2008-09-29
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Daffé M, Etienne G (1999). "The capsule of Mycobacterium tuberculosis and its implications for pathogenicity".
Tuber Lung Dis
79
(3): 153–69.
doi
10.1054/tuld.1998.0200
PMID
10656114
Finlay BB, Falkow S (1997).
"Common themes in microbial pathogenicity revisited"
Microbiology and Molecular Biology Reviews
61
(2): 136–69.
PMC
232605
PMID
9184008
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
Nicholson WL, Munakata N, Horneck G, Melosh HJ, Setlow P (2000).
"Resistance of Bacillus endospores to extreme terrestrial and extraterrestrial environments"
Microbiology and Molecular Biology Reviews
64
(3): 548–72.
doi
10.1128/MMBR.64.3.548-572.2000
PMC
99004
PMID
10974126
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Siunov A, Nikitin D, Suzina N, Dmitriev V, Kuzmin N, Duda V (1999).
"Phylogenetic status of Anaerobacter polyendosporus, an anaerobic, polysporogenic bacterium"
(PDF)
Int J Syst Bacteriol
. 49 Pt 3: 1119–24.
PMID
10425769
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
(PDF)
mnamo 2007-06-16
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Nicholson W, Fajardo-Cavazos P, Rebeil R, Slieman T, Riesenman P, Law J, Xue Y (2002). "Bacterial endospores and their significance in stress resistance".
Antonie Van Leeuwenhoek
81
(1–4): 27–32.
doi
10.1023/A:1020561122764
PMID
12448702
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Vreeland R, Rosenzweig W, Powers D (2000).
"Isolation of a 250 million-year-old halotolerant bacterium from a primary salt crystal"
Nature
407
(6806): 897–900.
doi
10.1038/35038060
PMID
11057666
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Cano R, Borucki M (1995).
"Revival and identification of bacterial spores in 25- to 40-million-year-old Dominican amber"
Science
268
(5213): 1060–4.
doi
10.1126/science.7538699
PMID
7538699
Nicholson W, Schuerger A, Setlow P (2005). "The solar UV environment and bacterial spore UV resistance: considerations for Earth-to-Mars transport by natural processes and human spaceflight".
Mutat Res
571
(1–2): 249–64.
doi
10.1016/j.mrfmmm.2004.10.012
PMID
15748651
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Hatheway CL (1990).
"Toxigenic clostridia"
Clinical Microbiology Reviews
(1): 66–98.
PMC
358141
PMID
2404569
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
Nealson K (1999). "Post-Viking microbiology: new approaches, new data, new insights".
Orig Life Evol Biosph
29
(1): 73–93.
doi
10.1023/A:1006515817767
PMID
11536899
Xu J (2006). "Microbial ecology in the age of genomics and metagenomics: concepts, tools, and recent advances".
Mol Ecol
15
(7): 1713–31.
doi
10.1111/j.1365-294X.2006.02882.x
PMID
16689892
Zillig W (1991). "Comparative biochemistry of Archaea and Bacteria".
Curr Opin Genet Dev
(4): 544–51.
doi
10.1016/S0959-437X(05)80206-0
PMID
1822288
Hellingwerf K, Crielaard W, Hoff W, Matthijs H, Mur L, van Rotterdam B (1994).
"Photobiology of bacteria"
Antonie Van Leeuwenhoek
65
(4): 331–47.
doi
10.1007/BF00872217
PMID
7832590
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Zumft W (1 Desemba 1997).
"Cell biology and molecular basis of denitrification"
Microbiol Mol Biol Rev
61
(4): 533–616.
PMC
232623
PMID
9409151
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: date auto-translated (
link
Drake H, Daniel S, Küsel K, Matthies C, Kuhner C, Braus-Stromeyer S (1997). "Acetogenic bacteria: what are the in situ consequences of their diverse metabolic versatilities?".
Biofactors
(1): 13–24.
doi
10.1002/biof.5520060103
PMID
9233536
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Dalton H (2005).
"The Leeuwenhoek Lecture 2000 the natural and unnatural history of methane-oxidizing bacteria"
Philos Trans R Soc Lond B Biol Sci
360
(1458): 1207–22.
doi
10.1098/rstb.2005.1657
PMC
1569495
PMID
16147517
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2020-04-01
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
Zehr J, Jenkins B, Short S, Steward G (2003). "Nitrogenase gene diversity and microbial community structure: a cross-system comparison".
Environ Microbiol
(7): 539–54.
doi
10.1046/j.1462-2920.2003.00451.x
PMID
12823187
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Koch A (2002). "Control of the bacterial cell cycle by cytoplasmic growth".
Crit Rev Microbiol
28
(1): 61–77.
doi
10.1080/1040-840291046696
PMID
12003041
Eagon RG (1962).
"Pseudomonas natriegens, a marine bacterium with a generation time of less than 10 minutes"
Journal of Bacteriology
83
(4): 736–7.
PMC
279347
PMID
13888946
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
[205]
Thomson R, Bertram H (2001).
"Laboratory diagnosis of central nervous system infections"
Infectious Disease Clinics of North America
15
(4): 1047–71.
doi
10.1016/S0891-5520(05)70186-0
PMID
11780267
Paerl H, Fulton R, Moisander P, Dyble J (2001). "Harmful freshwater algal blooms, with an emphasis on cyanobacteria".
ScientificWorldJournal
: 76–113.
doi
10.1100/tsw.2001.16
PMID
12805693
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
) CS1 maint: unflagged free DOI (
link
Challis G, Hopwood D (2003).
"Synergy and contingency as driving forces for the evolution of multiple secondary metabolite production by Streptomyces species"
Proc Natl Acad Sci USA
. 100 Suppl 2: 14555–61.
doi
10.1073/pnas.1934677100
PMC
304118
PMID
12970466
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2008-07-25
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
Kooijman S, Auger P, Poggiale J, Kooi B (2003). "Quantitative steps in symbiogenesis and the evolution of homeostasis".
Biol Rev Camb Philos Soc
78
(3): 435–63.
doi
10.1017/S1464793102006127
PMID
14558592
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Prats C, López D, Giró A, Ferrer J, Valls J (2006). "Individual-based modelling of bacterial cultures to study the microscopic causes of the lag phase".
J Theor Biol
241
(4): 939–53.
doi
10.1016/j.jtbi.2006.01.029
PMID
16524598
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Hecker M, Völker U (2001). "General stress response of Bacillus subtilis and other bacteria".
Adv Microb Physiol
44
: 35–91.
doi
10.1016/S0065-2911(01)44011-2
PMID
11407115
Nakabachi A, Yamashita A, Toh H, Ishikawa H, Dunbar H, Moran N, Hattori M (2006).
"The 160-kilobase genome of the bacterial endosymbiont Carsonella"
Science
314
(5797): 267.
doi
10.1126/science.1134196
PMID
17038615
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Pradella S, Hans A, Spröer C, Reichenbach H, Gerth K, Beyer S (2002). "Characterisation, genome size and genetic manipulation of the myxobacterium Sorangium cellulosum So ce56".
Arch Microbiol
178
(6): 484–92.
doi
10.1007/s00203-002-0479-2
PMID
12420170
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Belfort M, Reaban ME, Coetzee T, Dalgaard JZ (1 Julai 1995).
"Prokaryotic introns and inteins: a panoply of form and function"
J. Bacteriol
177
(14): 3897–903.
PMC
177115
PMID
7608058
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2020-05-30
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
CS1 maint: date auto-translated (
link
) CS1 maint: multiple names: authors list (
link
"Plasmid"
Genome.gov
(kwa Kiingereza)
. Iliwekwa mnamo
2021-03-30
Denamur E, Matic I (2006). "Evolution of mutation rates in bacteria".
Mol Microbiol
60
(4): 820–7.
doi
10.1111/j.1365-2958.2006.05150.x
PMID
16677295
Wright B (2004). "Stress-directed adaptive mutations and evolution".
Mol Microbiol
52
(3): 643–50.
doi
10.1111/j.1365-2958.2004.04012.x
PMID
15101972
Davison J (1999). "Genetic exchange between bacteria in the environment".
Plasmid
42
(2): 73–91.
doi
10.1006/plas.1999.1421
PMID
10489325
Hastings P, Rosenberg S, Slack A (2004).
"Antibiotic-induced lateral transfer of antibiotic resistance"
Trends Microbiol
12
(9): 401–4.
doi
10.1016/j.tim.2004.07.003
PMID
15337159
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Dusenbery, Daudi B. ((1996). Life at Small Scale. Scientific American Library.
ISBN 0-7167-5060-0
Shapiro JA (1998).
"Thinking about bacterial populations as multicellular organisms"
(PDF)
Annu. Rev. Microbiol
52
: 81–104.
doi
10.1146/annurev.micro.52.1.81
PMID
9891794
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
(PDF)
mnamo 2012-03-01
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
Costerton JW, Lewandowski Z, Caldwell DE, Korber DR, Lappin-Scott HM (1995).
"Microbial biofilms"
Annu. Rev. Microbiol
49
: 711–45.
doi
10.1146/annurev.mi.49.100195.003431
PMID
8561477
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Bardy S, Ng S, Jarrell K (2003).
"Prokaryotic motility structures"
Microbiology
149
(Pt 2): 295–304.
doi
10.1099/mic.0.25948-0
PMID
12624192
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2007-09-14
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Dusenbery, Daudi B. (2009). Living at Micro Scale, p. 136. Harvard University Press, Cambridge, Mass.
ISBN 978-0-674-03116-6
Merz A, So M, Sheetz M (2000).
"Pilus retraction powers bacterial twitching motility"
Nature
407
(6800): 98–102.
doi
10.1038/35024105
PMID
10993081
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Dusenbery, David B. (2009). {. Living at Micro Scale, Chapter 13. Harvard University Press, Cambridge, Mass
ISBN 978-0-674-03116-6
Lux R, Shi W (2004). "Chemotaxis-guided movements in bacteria".
Crit Rev Oral Biol Med
15
(4): 207–20.
doi
10.1177/154411130401500404
PMID
15284186
Frankel R, Bazylinski D, Johnson M, Taylor B (1997).
"Magneto-aerotaxis in marine coccoid bacteria"
Biophys J
73
(2): 994–1000.
doi
10.1016/S0006-3495(97)78132-3
PMC
1180996
PMID
9251816
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Goldberg MB (2001).
"Actin-based motility of intracellular microbial pathogens"
Microbiol Mol Biol Rev
65
(4): 595–626.
doi
10.1128/MMBR.65.4.595-626.2001
PMC
99042
PMID
11729265
Olsen GJ, Woese CR, Overbeek R (1994).
"The winds of (evolutionary) change: breathing new life into microbiology"
Journal of Bacteriology
176
(1): 1–6.
PMC
205007
PMID
8282683
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
"IJSEM - Home"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2011-10-19
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
[279] ^ Bergey's Manual Trust
Gupta R (2000). "The natural evolutionary relationships among prokaryotes".
Crit Rev Microbiol
26
(2): 111–31.
doi
10.1080/10408410091154219
PMID
10890353
Doolittle RF (2005). "Evolutionary aspects of whole-genome biology".
Curr Opin Struct Biol
15
(3): 248–253.
doi
10.1016/j.sbi.2005.04.001
PMID
11837318
Cavalier-Smith T (2002). "The neomuran origin of archaebacteria, the negibacterial root of the universal tree and bacterial megaclassification".
Int J Syst Evol Microbiol
52
(Pt 1): 7–76.
PMID
11837318
Ciccarelli FD, Doerks T, von Mering C, Creevey CJ, Snel B, Bork P (2006).
"Toward automatic reconstruction of a highly resolved tree of life"
Science
311
(5765): 1283–7.
doi
10.1126/science.1123061
PMID
16513982
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Woods GL, Walker DH (1996).
"Detection of infection or infectious agents by use of cytologic and histologic stains"
Clinical Microbiology Reviews
(3): 382–404.
PMC
172900
PMID
8809467
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
Weinstein M (1994).
"Clinical importance of blood cultures"
Clin Lab Med
14
(1): 9–16.
PMID
8181237
Louie M, Louie L, Simor AE (8 Agosti 2000).
"The role of DNA amplification technology in the diagnosis of infectious diseases"
CMAJ
163
(3): 301–309.
PMC
80298
PMID
10951731
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: date auto-translated (
link
) CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Oliver J (2005).
"The viable but nonculturable state in bacteria"
J Microbiol
. 43 Spec No: 93–100.
PMID
15765062
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2013-04-04
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
ABRS - Numbers of living species in Australia and the World Report - Excutive Summary
Curtis TP, Sloan WT, Scannell JW (2002).
"Estimating prokaryotic diversity and its limits"
Proceedings of the National Academy of Sciences of the United States of America
99
(16): 10494–9.
doi
10.1073/pnas.142680199
PMC
124953
PMID
12097644
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Schloss PD, Handelsman J (2004).
"Status of the microbial census"
Microbiology and Molecular Biology Reviews
68
(4): 686–91.
doi
10.1128/MMBR.68.4.686-691.2004
PMC
539005
PMID
15590780
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
Martin MO (2002). "Predatory prokaryotes: an emerging research opportunity".
Journal of Microbiology and Biotechnology
(5): 467–77.
PMID
12432957
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
Velicer GJ, Stredwick KL (2002). "Experimental social evolution with Myxococcus xanthus".
Antonie Van Leeuwenhoek
81
(1–4): 155–64.
doi
10.1023/A:1020546130033
PMID
12448714
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
Guerrero R, Pedros-Alio C, Esteve I, Mas J, Chase D, Margulis L (1986).
"Predatory prokaryotes: predation and primary consumption evolved in bacteria"
Proc. Natl. Acad. Sci. U.S.A
83
: 2138–42.
doi
10.1073/pnas.83.7.2138
PMC
323246
PMID
11542073
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Velicer, GJ; Mendes-Soares, H (2009). "Bacterial predators".
Current Biology
19
(2): R55–R56.
doi
10.1016/j.cub.2008.10.043
PMID
19174136
{{
cite journal
}}
More than one of
author=
na
last1=
specified (
help
Unknown parameter
month=
ignored (
help
Stams A, de Bok F, Plugge C, van Eekert M, Dolfing J, Schraa G (2006). "Exocellular electron transfer in anaerobic microbial communities".
Environ Microbiol
(3): 371–82.
doi
10.1111/j.1462-2920.2006.00989.x
PMID
16478444
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Barea J, Pozo M, Azcón R, Azcón-Aguilar C (2005).
"Microbial co-operation in the rhizosphere"
J Exp Bot
56
(417): 1761–78.
doi
10.1093/jxb/eri197
PMID
15911555
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2007-02-16
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
O'Hara A, Shanahan F (2006).
"The gut flora as a forgotten organ"
EMBO Rep
(7): 688–93.
doi
10.1038/sj.embor.7400731
PMC
1500832
PMID
16819463
Zoetendal E, Vaughan E, de Vos W (2006). "A microbial world within us".
Mol Microbiol
59
(6): 1639–50.
doi
10.1111/j.1365-2958.2006.05056.x
PMID
16553872
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Gorbach S (1990).
"Lactic acid bacteria and human health"
Ann Med
22
(1): 37–41.
doi
10.3109/07853899009147239
PMID
2109988
Salminen S, Gueimonde M, Isolauri E (1 Mei 2005).
"Probiotics that modify disease risk"
J Nutr
135
(5): 1294–8.
PMID
15867327
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: date auto-translated (
link
) CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Fish D (2002). "Optimal antimicrobial therapy for sepsis".
Am J Health Syst Pharm
. 59 Suppl 1: S13–9.
PMID
11885408
Belland R, Ouellette S, Gieffers J, Byrne G (2004). "Chlamydia pneumoniae and atherosclerosis".
Cell Microbiol
(2): 117–27.
doi
10.1046/j.1462-5822.2003.00352.x
PMID
14706098
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Saiman L (2004). "Microbiology of early CF lung disease".
Paediatric Respiratory Reviews
. 5 Suppl A: S367–9.
PMID
14980298
Yonath A, Bashan A (2004).
"Ribosomal crystallography: initiation, peptide bond formation, and amino acid polymerization are hampered by antibiotics"
Annu Rev Microbiol
58
: 233–51.
doi
10.1146/annurev.micro.58.030603.123822
PMID
15487937
Khachatourians GG (1998).
"Agricultural use of antibiotics and the evolution and transfer of antibiotic-resistant bacteria"
CMAJ
159
(9): 1129–36.
PMC
1229782
PMID
9835883
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
"understanding Bacteriophages in details"
(kwa Kiingereza). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2021-05-06
. Iliwekwa mnamo
2021-03-30
Bickle TA, Krüger DH (1 Juni 1993).
"Biology of DNA restriction"
Microbiol. Rev
57
(2): 434–50.
PMC
372918
PMID
8336674
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: date auto-translated (
link
Brüssow H, Canchaya C, Hardt WD (2004).
"Phages and the evolution of bacterial pathogens: from genomic rearrangements to lysogenic conversion"
Microbiology and Molecular Biology Reviews
68
(3): 560–602.
doi
10.1128/MMBR.68.3.560-602.2004
PMC
515249
PMID
15353570
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
month=
ignored (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Johnson M, Lucey J (2006).
"Major technological advances and trends in cheese"
J Dairy Sci
89
(4): 1174–8.
doi
10.3168/jds.S0022-0302(06)72186-5
PMID
16537950
Hagedorn S, Kaphammer B (1994).
"Microbial biocatalysis in the generation of flavor and fragrance chemicals"
Annu. Rev. Microbiol
48
: 773–800.
doi
10.1146/annurev.mi.48.100194.004013
PMID
7826026
Cohen Y (2002). "Bioremediation of oil by marine microbial mats".
Int Microbiol
(4): 189–93.
doi
10.1007/s10123-002-0089-5
PMID
12497184
Neves LC, Miyamura TT, Moraes DA, Penna TC, Converti A (2006). "Biofiltration methods for the removal of phenolic residues".
Appl. Biochem. Biotechnol
. 129–132: 130–52.
doi
10.1385/ABAB:129:1:130
PMID
16915636
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Liese A, Filho M (1999). "Production of fine chemicals using biocatalysis".
Curr Opin Biotechnol
10
(6): 595–603.
doi
10.1016/S0958-1669(99)00040-3
PMID
10600695
Aronson AI, Shai Y (2001). "Why Bacillus thuringiensis insecticidal toxins are so effective: unique features of their mode of action".
FEMS Microbiol. Lett
195
(1): 1–8.
doi
10.1111/j.1574-6968.2001.tb10489.x
PMID
11166987
Bozsik A (2006). "Susceptibility of adult Coccinella septempunctata (Coleoptera: Coccinellidae) to insecticides with different modes of action".
Pest Manag Sci
62
(7): 651–4.
doi
10.1002/ps.1221
PMID
16649191
Chattopadhyay A, Bhatnagar N, Bhatnagar R (2004). "Bacterial insecticidal toxins".
Crit Rev Microbiol
30
(1): 33–54.
doi
10.1080/10408410490270712
PMID
15116762
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Serres MH, Gopal S, Nahum LA, Liang P, Gaasterland T, Riley M (2001).
"A functional update of the Escherichia coli K-12 genome"
Genome Biology
(9): RESEARCH0035.
doi
10.1186/gb-2001-2-9-research0035
PMC
56896
PMID
11574054
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2020-03-15
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
CS1 maint: multiple names: authors list (
link
) CS1 maint: unflagged free DOI (
link
Almaas E, Kovács B, Vicsek T, Oltvai Z, Barabási A (2004).
"Global organization of metabolic fluxes in the bacterium Escherichia coli"
Nature
427
(6977): 839–43.
doi
10.1038/nature02289
PMID
14985762
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Reed JL, Vo TD, Schilling CH, Palsson BO (2003).
"An expanded genome-scale model of Escherichia coli K-12 (iJR904 GSM/GPR)"
Genome Biol
(9): R54.
doi
10.1186/gb-2003-4-9-r54
PMC
193654
PMID
12952533
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
) CS1 maint: unflagged free DOI (
link
Walsh G (2005). "Therapeutic insulins and their large-scale manufacture".
Appl Microbiol Biotechnol
67
(2): 151–9.
doi
10.1007/s00253-004-1809-x
PMID
15580495
Graumann K, Premstaller A (2006). "Manufacturing of recombinant therapeutic proteins in microbial systems".
Biotechnol J
(2): 164–86.
doi
10.1002/biot.200500051
PMID
16892246
Marejeo
hariri
hariri chanzo
Alcamo IE (2001).
Fundamentals of microbiology
. Boston: Jones and Bartlett.
ISBN
0-7637-1067-9
Atlas RM (1995).
Principles of microbiology
. St. Louis: Mosby.
ISBN
0-8016-7790-4
Martinko JM, Madigan MT (2005).
Brock Biology of Microorganisms
(tol.
la
11th). Englewood Cliffs, N.J: Prentice Hall.
ISBN
0-13-144329-1
Holt JC, Bergey DH (1994).
Bergey's manual of determinative bacteriology
(tol.
la
9th). Baltimore: Williams & Wilkins.
ISBN
0-683-00603-7
Hugenholtz P, Goebel BM, Pace NR (15 Septemba 1998).
"Impact of culture-independent studies on the emerging phylogenetic view of bacterial diversity"
J Bacteriol
180
(18): 4765–74.
PMC
107498
PMID
9733676
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2008-09-14
. Iliwekwa mnamo
2015-05-07
{{
cite journal
}}
Unknown parameter
dead-url=
ignored (
url-status=
suggested) (
help
CS1 maint: date auto-translated (
link
) CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Funke BR, Tortora GJ, Case CL (2004).
Microbiology: an introduction
(tol.
la
8th). San Francisco: Benjamin Cummings.
ISBN
0-8053-7614-3
{{
cite book
}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (
link
Shively, Jessup M. (2006).
Complex Intracellular Structures in Prokaryotes (Microbiology Monographs)
. Berlin: Springer.
ISBN
3-540-32524-7
Witzany G, (2008). "Bio-Communication of Bacteria and their Evolutionary Roots in Natural Genome Editing Competences of Viruses".
Open Evol J
: 44–54.
doi
10.2174/1874404400802010044
{{
cite journal
}}
: CS1 maint: extra punctuation (
link
Viungo vya nje
hariri
hariri chanzo
Wikispecies
has information related to:
Vijasumu
Jua habari zaidi kuhusu Vijasumu kwa kutafuta kupitia mradi wa Wikipedia Sister
Uchambuzi wa kamusi
kutoka
Wikamusi
Vitabu
kutoka
Wikitabu
Dondoo
kutoka
Wikidondoa
Matini za vyanzo
kutoka
Wikichanzo
Picha na media
kutoka
Commons
Habari
kutoka
Wikihabari
Vyanzo vya elimu
kutoka
Wikichuo
# MicrobeWiki, an extensive wiki about bacteria and viruses
Bacteria which affect crops and other plants
Bacterial Nomenclature Up-To-Date from DSMZ
Ilihifadhiwa
29 Septemba 2007 kwenye
Wayback Machine
Genera of the domain Bacteria - list of Prokaryotic names with Standing in Nomenclature
The largest bacteria
Ilihifadhiwa
11 Desemba 2012 kwenye
Wayback Machine
Tree of Life: Eubacteria
Ilihifadhiwa
21 Oktoba 2014 kwenye
Wayback Machine
Videos of bacteria swimming and tumbling, use of optical tweezers and other videos.
Planet of the Bacteria by Stephen Jay Gould
On-line text book on bacteriology
Ilihifadhiwa
13 Septemba 2008 kwenye
Wayback Machine
Animated guide to bacterial cell structure.
Bacteria Make Major Evolutionary Shift in the Lab
Cell-Cell Communication in Bacteria on-line lecture by Bonnie Bassler, and TED: Discovering bacteria's amazing communication system
Online collaboration for bacterial taxonomy.
Ilihifadhiwa
15 Aprili 2014 kwenye
Wayback Machine
Parts of a bacterial cell
Ilihifadhiwa
5 Machi 2012 kwenye
Wayback Machine
Bacterial Chemotaxis Interactive Simulator - A web-app that uses several simple algorithms to simulate bacterial chemotaxis.
Rudishwa kutoka "
Jamii
Biolojia
Mimea
Bakteria
Bakteriolojia
Mikrobiolojia
Jamii zilizofichwa:
CS1 errors: unsupported parameter
CS1 maint: multiple names: authors list
CS1 maint: unflagged free DOI
Pages using ISBN magic links
CS1 errors: redundant parameter
CS1 errors: explicit use of et al.
CS1: long volume value
CS1 maint: date auto-translated
CS1 maint: extra punctuation
Vijasumu
Weka mada